Mrimi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 1,691
- 640
Alichosema dist111 ni sahihi ila huyu anayesema Equity Bank itakupa milioni zote hizo sio kweli hata kidogo..na haitakaa itokee!
Hesabu ziko hivi:
Let'a say riba ni 18% kwa mwaka..chukulia unakopa tsh 9,000,000/=
Fanya 9,000,000 x 18% = 1,620,000 hii ndiyo faida yao wanayokukata kwa mwaka.
Sasa kwa miaka mitano itakuwa 1,620,000 x 5 = 8,100,000 kama riba.
Kwa hiyo sasa,jumla ya pesa yote utakayolipa ni riba + mkopo wenyewe: 8,100,000 + 9,000,000 = 17,100,000/=
So,ili kujiua kwa mwezi utakatwa sh ngapi: 17,100,000 gawa kwa miezi ya miaka mitano(miezi 60) = 285,000/=
Kimsingi hela unayolipa hadi mkopo unakwisha ni kubwa sana kama unaichukulia kama ilivyo..na hapo ndipo wengi wanapaogopa..ila tusisahau wakati wewe unaogopa kukopa kuna wengine wanaendelea kutajirika kutokana na mikopo hii..Kwa kawaida mkopo una pande mbili..kuna upande wa kufukarisha na upande wa kutajirishwa,sasa inategemea wewe umesimama upande gani.
Hebu angalia upande huu nao:
Let's say umechukua mkopo wa sh 9,000,000/=
Umeingiza kwenye mzunguko wa biashara unaokuingizia angalau faida(net profit) 10,000/= kwa siku.Na hii ni biashara inayoingiza faida ndogo sana yaani <1%(0.11%)!
Kwa mwezi 10,000 x 30 = 300,000..kwa miaka mitano ni 300,000 x 60 = 18,000,000(faida tu)!
Kwa hiyo hadi miaka mitano inakamilika una jumla ya pesa: mkopo + faida: 9,000,000 + 18,000,000 = 27,000,000/=!
Sasa ukiwarudiashia benki 17,100,000 unabakiwa na (27m -17.1m) = 9.9m! Tuseme hiyo 0.9m inafidia gharama za kuprocess mkopo na mambo mengine ya hapa na pale.
Unaweza kuona kwamba ikiwa utakopa mkopo kwa ajili ya kujenga au kulipia ada,au hata kulipa deni,mkopo wa milioni 9 utatakiwa kulipa zaidi ya milioni 8 juu ya mkopo ule..ila kama utakopa na kuiweka kwenye mzunguko wa biashara,hadi unamaliza marejesho utabakiwa na milioni 9 mfukoni!
Hesabu ziko hivi:
Let'a say riba ni 18% kwa mwaka..chukulia unakopa tsh 9,000,000/=
Fanya 9,000,000 x 18% = 1,620,000 hii ndiyo faida yao wanayokukata kwa mwaka.
Sasa kwa miaka mitano itakuwa 1,620,000 x 5 = 8,100,000 kama riba.
Kwa hiyo sasa,jumla ya pesa yote utakayolipa ni riba + mkopo wenyewe: 8,100,000 + 9,000,000 = 17,100,000/=
So,ili kujiua kwa mwezi utakatwa sh ngapi: 17,100,000 gawa kwa miezi ya miaka mitano(miezi 60) = 285,000/=
Kimsingi hela unayolipa hadi mkopo unakwisha ni kubwa sana kama unaichukulia kama ilivyo..na hapo ndipo wengi wanapaogopa..ila tusisahau wakati wewe unaogopa kukopa kuna wengine wanaendelea kutajirika kutokana na mikopo hii..Kwa kawaida mkopo una pande mbili..kuna upande wa kufukarisha na upande wa kutajirishwa,sasa inategemea wewe umesimama upande gani.
Hebu angalia upande huu nao:
Let's say umechukua mkopo wa sh 9,000,000/=
Umeingiza kwenye mzunguko wa biashara unaokuingizia angalau faida(net profit) 10,000/= kwa siku.Na hii ni biashara inayoingiza faida ndogo sana yaani <1%(0.11%)!
Kwa mwezi 10,000 x 30 = 300,000..kwa miaka mitano ni 300,000 x 60 = 18,000,000(faida tu)!
Kwa hiyo hadi miaka mitano inakamilika una jumla ya pesa: mkopo + faida: 9,000,000 + 18,000,000 = 27,000,000/=!
Sasa ukiwarudiashia benki 17,100,000 unabakiwa na (27m -17.1m) = 9.9m! Tuseme hiyo 0.9m inafidia gharama za kuprocess mkopo na mambo mengine ya hapa na pale.
Unaweza kuona kwamba ikiwa utakopa mkopo kwa ajili ya kujenga au kulipia ada,au hata kulipa deni,mkopo wa milioni 9 utatakiwa kulipa zaidi ya milioni 8 juu ya mkopo ule..ila kama utakopa na kuiweka kwenye mzunguko wa biashara,hadi unamaliza marejesho utabakiwa na milioni 9 mfukoni!