Kwa mshambuliaji aina ya Kibu Denis unaonyesha kwasababu gani Simba wanapata tabu kupata matokeo.

Kwa mshambuliaji aina ya Kibu Denis unaonyesha kwasababu gani Simba wanapata tabu kupata matokeo.

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Mshambuliaji huyo nimekua nikimfatilia kwa muda mrefu sasa kwenye mechi mbalimbali. Amekua akianza asilimia kubwa sana ya game za simba msimu huu huku mchango wake kwenye upande wa ushambuliaji umekua ni hafifu, uwezo wake hauendani na jinsi wanasimba wanategemea kutoka kwa mchezaji wao hasahasa kipindi hiki ambacho wanasimba wanaamini klabu yao imefikia level za kimataifa.
 
Yaani kazi yake hilo kupoteza mpira na kuzonga tu watu. Usishangae Simba hata taifa staz ndo lazima aanze, je makocha wanaonaga nini? Kwa kweli ukiwa kocha inabidi uwe mvumilivu lasivyo huyu kibu angekua anakaa jukwaani kabisa
 
Mshambuliaji huyo nimekua nikimfatilia kwa muda mrefu sasa kwenye mechi mbalimbali. Amekua akianza asilimia kubwa sana ya game za simba msimu huu huku mchango wake kwenye upande wa ushambuliaji umekua ni hafifu, uwezo wake hauendani na jinsi wanasimba wanategemea kutoka kwa mchezaji wao hasahasa kipindi hiki ambacho wanasimba wanaamini klabu yao imefikia level za kimataifa.
Hata dakika 30 hazijapita tangu uweke post hii, tayari ameshatupia mawili huko 🤣🤣🤣
 
Mshambuliaji huyo nimekua nikimfatilia kwa muda mrefu sasa kwenye mechi mbalimbali. Amekua akianza asilimia kubwa sana ya game za simba msimu huu huku mchango wake kwenye upande wa ushambuliaji umekua ni hafifu, uwezo wake hauendani na jinsi wanasimba wanategemea kutoka kwa mchezaji wao hasahasa kipindi hiki ambacho wanasimba wanaamini klabu yao imefikia level za kimataifa.
Ameku prove wrong

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mshambuliaji huyo nimekua nikimfatilia kwa muda mrefu sasa kwenye mechi mbalimbali. Amekua akianza asilimia kubwa sana ya game za simba msimu huu huku mchango wake kwenye upande wa ushambuliaji umekua ni hafifu, uwezo wake hauendani na jinsi wanasimba wanategemea kutoka kwa mchezaji wao hasahasa kipindi hiki ambacho wanasimba wanaamini klabu yao imefikia level za kimataifa.
utopolooo bwana... embu angalia matokeo huko 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Leo
Mshambuliaji huyo nimekua nikimfatilia kwa muda mrefu sasa kwenye mechi mbalimbali. Amekua akianza asilimia kubwa sana ya game za simba msimu huu huku mchango wake kwenye upande wa ushambuliaji umekua ni hafifu, uwezo wake hauendani na jinsi wanasimba wanategemea kutoka kwa mchezaji wao hasahasa kipindi hiki ambacho wanasimba wanaamini klabu yao imefikia level za kimataifa.
Leo amefunga magoli mawili sijui utaongea Nini, kibu Dennis anahitaji mda ni mchezaji mzuri tatizo Ana papara akiwa maeneo ya goli
 
Back
Top Bottom