Umeuliza swali halafu ukajibu mwenyewe kwenye hapo kwenye bluu halafu ukauliza tena hilo hilo swali hapo kwenye nyekundu, by the way how old are you?? I guess swali kama hili hata mtoto wa miaka 17 atakupa straight answer.kwa upande wangu ni sawa coz si mpz wangu nina uhuru wa kumwambia lolote ninalojisikia kwake,lakini nashangaa kwa wasichana wengine wanaona wanaume ndio wanotakiwa kusema ivyo bt kwangu naona kwa wote ni sawa ndio maana na mapenzi.bt sijui wenzangu mnaonaje ili lipo sawa?or sio sawa?
nimeuliza swali sawa alafu mm kwangu naona sawa,na ndio nmetetea hoja yangu,bt kuna wasichana wengine wanaona shy kusema dat y nikauliza ipo sawa nijue kama nipo righty or wrong?alafu inaonyesha ww unapewa ushauri na watoto wadogo.Umeuliza swali halafu ukajibu mwenyewe kwenye hapo kwenye bluu halafu ukauliza tena hilo hilo swali hapo kwenye nyekundu, by the way how old are you?? I guess swali kama hili hata mtoto wa miaka 17 atakupa straight answer.
xxxxxxxxxxxxxxkwa upande wangu ni sawa coz si mpz wangu nina uhuru wa kumwambia lolote ninalojisikia kwake,lakini nashangaa kwa wasichana wengine wanaona wanaume ndio wanotakiwa kusema ivyo bt kwangu naona kwa wote ni sawa ndio maana na mapenzi.bt sijui wenzangu mnaonaje ili lipo sawa?or sio sawa?
nimeuliza swali sawa alafu mm kwangu naona sawa,na ndio nmetetea hoja yangu,bt kuna wasichana wengine wanaona shy kusema dat y nikauliza ipo sawa nijue kama nipo righty or wrong?alafu inaonyesha ww unapewa ushauri na watoto wadogo.
I guess you are Entymologistww vp?unatafuta bwana?or mchumba?
Mabagala...una uhakika hujawahi ambiwa?? Au we kuambiwa mpaka usikie kwa sauti??Nasubiri siku moja nami niambiwe!
Ni sawa kabisa coz mwanamke na mwanaume wote ni haki yao sasa iweje we mdada uone aibu kwani unaiba au kaka yako huyo? Hii kitu ina siri yake aisee shosti keshasema moja wapo.!kwa upande wangu ni sawa coz si mpz wangu nina uhuru wa kumwambia lolote ninalojisikia kwake,lakini nashangaa kwa wasichana wengine wanaona wanaume ndio wanotakiwa kusema ivyo bt kwangu naona kwa wote ni sawa ndio maana na mapenzi.bt sijui wenzangu mnaonaje ili lipo sawa?or sio sawa?
Ukiona hivyo ujue hayuko tayari kukupa kwa siku hiyo, hapo ni kutayarisha mazingira tu, mpe karanga ale utakuja hamu zitamjia na atakushushua kwa mahaba!Kwa upande wangu sioni kama mbaya lakini inategemea na mwanamme mwenyewe unawapata wanaume wengine washamba,kuna sikunilimwambia B/F wangu alinitazama jicho lile la kelbu na hakutosheka alinishushua nilitahayari nikajuta nilimuambilia nini uso ulikua mdogo kama kokwa ya ubuyu,Na hata ukimuonyesha ishara ndio anajitia upofu haelewi wala afahamu anakua ghali sikuiyo sijui anajijua kama anayaweza.
Una bidii wewe, haya bana!halafu tunashindwa kuelewa tu wadada,ukimwambia mpenzio inakuwa kama mzuka fulani hivi.....anapagawa hasaa!
Kukonyeza nayo ni ishara!Mabagala...una uhakika hujawahi ambiwa?? Au we kuambiwa mpaka usikie kwa sauti??Someni alama za nyakati jamani. Mbona mnataka kulazimisha binadamu wote wafanane? Wengine hu'zungumza' kwa ishara zaidi kuliko maneno mwe!!
Naubiria unionyeshe vitendoWanawake wengi tuna njia yetu ya kumwonyesha mpenzi wako your in need,,..... sio lazima umtolee macho kumwambia leo naomba au nataka tufanye mapenzi, but unaweza anza kwa vitendo tu