Kwa msiofahamu mlima kilimanjaro unapumulia mlima rungwe ukiuziba mlima rungwe kilimanjaro inalipuka.

Unaweza kuweka ushahidi wa hiki au ni story za town
 
Hata unaowaona wanaokota takataka barabarani walianza km wewe. Ni bora ukatibiwe mapema
 
Pilau Nyama [emoji23][emoji38]
 
Tule kwa Kiasi wakuu.

Pilau viungo vikizidi, tutegemee side effects kama hizi.😂😂
 
Daah niliwahi msikia mtaalamu mmoja wa miamba miaka ya nyuma akielezea hilo jambo uhusiano wa Mlima Rungwe na Mlima Kilimanjaro sema nikaliacha ingawaje jamaa alielezea kwa ufasaha sana...
 
Naskia kuna shimo juu ya mlima kilimanjaro, ukizama unaibukia Tanga... hear say hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…