Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Ameshushia na KisunguraPilau tayari!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameshushia na KisunguraPilau tayari!!!
Madame embu thibitisha hiloKumbe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata unaowaona wanaokota takataka barabarani walianza km wewe. Ni bora ukatibiwe mapema
Amka kumekucha usije jikojolea kitandani!Iko hivi; KWA mujibu wa geological survey na vulcanicity mlima kilimanjaro una shimo la chini kwa chini mpaka mlima rungwe tukuyu mbeya. Na ikitokea unauziba mlima rungwe basi mgandamizo wa presha msukumo utaufumua mlima kilimanjaro.
Kwa leo ni hayo marry christmass.
Superbug
Wanadhani nimekula pilau na maharage kumbe ni jambo la Kweli ila mimi nimeiwasilisha kisimpo sana ili hata vilaza wa humu waelewe.Daah niliwahi msikia mtaalamu mmoja wa miamba miaka ya nyuma akielezea hilo jambo uhusiano wa Mlima Rungwe na Mlima Kilimanjaro sema nikaliacha ingawaje jamaa alielezea kwa ufasaha sana...
Mambo ya Taaluma ni mapana sana kama sio fani yako utadhani unadanganywa na tatizo kubwa tulilonalo hatusomi vitabu pia...Elimu ya miamba uwakute ma IT wake wanaichambua utafurahi...Wanadhani nimekula pilau na maharage kumbe ni jambo la Kweli ila mimi nimeiwasilisha kisimpo sana ili hata vilaza wa humu waelewe.
Mimi nilisikia lipo shimo la kutokea mlima kilimanjaro hadi ziwa victoriaNaskia kuna shimo juu ya mlima kilimanjaro, ukizama unaibukia Tanga... hear say hiyo
Mkuu hii ni fact au ? Imekaa vzrIko hivi; KWA mujibu wa geological survey na vulcanicity mlima kilimanjaro una shimo la chini kwa chini mpaka mlima rungwe tukuyu mbeya. Na ikitokea unauziba mlima rungwe basi mgandamizo wa presha msukumo utaufumua mlima kilimanjaro.
Kwa leo ni hayo marry christmass.
Superbug
Pilau limeanza KaziIko hivi; KWA mujibu wa geological survey na vulcanicity mlima kilimanjaro una shimo la chini kwa chini mpaka mlima rungwe tukuyu mbeya. Na ikitokea unauziba mlima rungwe basi mgandamizo wa presha msukumo utaufumua mlima kilimanjaro.
Kwa leo ni hayo marry christmass.
Superbug
Uongo,Iko hivi; KWA mujibu wa geological survey na vulcanicity mlima kilimanjaro una shimo la chini kwa chini mpaka mlima rungwe tukuyu mbeya. Na ikitokea unauziba mlima rungwe basi mgandamizo wa presha msukumo utaufumua mlima kilimanjaro.
Kwa leo ni hayo marry christmass.
Superbug
Shimo naskia lipo na halijulikan linatokea wap...story hizi..ngoja waje wataalamMimi nilisikia lipo shimo la kutokea mlima kilimanjaro hadi ziwa victoria