Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Japo elimu haina mwisho lakini kwa huyu mzee wa kukopi na kupesti ninaona anapoteza muda tu.
Kama alifeli kipindi kile hana mambo mengi kichwani zaidi ya elimu ya madrasa ndio ataweza sasa hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mwenyewe alidhani akificha kwamba anasoma QT watu hatutajua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Sasa kujua tumeshajua na kufeli kupo pale pale .
Kwanza stress za kutopata mtoto zinamuumiza kichwa kila kukicha ndo ataweza kweli kuendana na kasi ya QT [emoji2][emoji2][emoji2]
Kama alifeli kipindi kile hana mambo mengi kichwani zaidi ya elimu ya madrasa ndio ataweza sasa hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mwenyewe alidhani akificha kwamba anasoma QT watu hatutajua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Sasa kujua tumeshajua na kufeli kupo pale pale .
Kwanza stress za kutopata mtoto zinamuumiza kichwa kila kukicha ndo ataweza kweli kuendana na kasi ya QT [emoji2][emoji2][emoji2]