Kwa msiojua mmakonde wa chitoholi anasoma QT

Kwa msiojua mmakonde wa chitoholi anasoma QT

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Japo elimu haina mwisho lakini kwa huyu mzee wa kukopi na kupesti ninaona anapoteza muda tu.

Kama alifeli kipindi kile hana mambo mengi kichwani zaidi ya elimu ya madrasa ndio ataweza sasa hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Mwenyewe alidhani akificha kwamba anasoma QT watu hatutajua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sasa kujua tumeshajua na kufeli kupo pale pale .

Kwanza stress za kutopata mtoto zinamuumiza kichwa kila kukicha ndo ataweza kweli kuendana na kasi ya QT [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Ni mwanaume rijali anaetongoza hatongozwi kama wakina fundenge
Huyo kutongoza anaweza kuwatongoza waluga luga wenzake wa huko umakondeni.

Hivi unajua hata kutoka na Wolper amepigiwa pande(ametongozewa)?

Hivi unajua alimpata pata vipi huyo mzungu?

Usiongee kitu usichokijua , huyo jamaa ni domo zege ,wanawake anaoweza kuwatongoza ni wale wachafu wachafu wa huko kwao.
 
QT ndio nini? I'm serious wajameni, nielewesheni.
 
Back
Top Bottom