Kwa msiojua mmakonde wa chitoholi anasoma QT

Nimpongeze kwa kuchagua fungu lililojema kwasababu elimu haina mwisho, pia nimebahatika kumsikiliza siku za karibuni akifanyiwa mahojiano kwa lugha ya malkia jamaa yuko poa sana, keep it up konde boy.
 
Ila siku we jamaa ukiweza ku focus kwenye mambo yako ukaacha kujipendekeza kwa Diamond utasogea sana kimaisha maana hizi nguvu unazotumia ungeziwekeza kwenye utafutaji ungekuwa mbali sana sasa.
Yaani kwa uandishi wa huyu Mtu bado ana sifa za kuwa ni 'jamaa?'
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji41]kuna tofauti ya binadamu na mtu.huyu mtoa mada sio mtu ni binadamu tu.tumpotezee
Nilidhani tunatakiwa kumwombea apate mtoto na afaulu huko QT. Wewe waomwombea afeli kote....ama kweli

Si kila mtu ni bina aa daaam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anahela zake zakutosha tu ww endelea kumsema tu anakaribia kuwa mbunge mwenzio ndio maana kaingai shule.
 
Ivi inakuwaje mleta mada anapata like ndogo kuliko mchangia mada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapa ndipo utakapojiona hujui kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…