Kwa mtaji huu mafundi wa kibongo mtaua magari yote ya watanzania

Kwa mtaji huu mafundi wa kibongo mtaua magari yote ya watanzania

Boeing 747

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2018
Posts
3,515
Reaction score
9,415
Juzi kati nilikuwa najadiliana na fundi mmoja kuhusu catalytic converter ya gari kama kuna namna ya kuisafisha ili kupunguza carbon..
Fundi akaniambia hiyo dawa yake ni kuiondoa mazima na kuna mahali zinauzwa..

Nikamwambia hapana tukitoa gari litawasha CHECK ENGINE LIGHT.....akanijibu ikiwasha CEL tunatoa hiyo bulb ya Check engine ili kwenye dash tusione kama inawaka kwa sababu ndiyo hivyo huwa wanafanya..

My take....
Gari lako linaweza likawasha check engine fundi akakuambia kama upo busy job...niambie nikachuke gari niizime hiyo taa uje uchukue gari jioni.. kwa kifupi nimegundua mafundi wengi wanaharibu tu ile bulb na kukurudishia gari lakini tatizo husika linabaki pale pale mfano kama ni sensor imekufa inabakia kuwa mbovu vile vile
Ndiyo maana kila kukicha watu hawaishi kuja hapa jukwaani kulalamika wapi nitapata engine used yangu imekufa...kumbe chanzo ni mafundi wetu..sisemi wote ila mafundi wengi wanapenda short cut ili mradi wapate pesa na hawapendi kujiongeza kusoma.

Nimeona nitoe haya ili uwe makini na hawa jamaa wanaojiita mafundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi kati nilikuwa najadiliana na fundi mmoja kuhusu catalytic converter ya gari kama kuna namna ya kuisafisha ili kupunguza carbon..
Fundi akaniambia hiyo dawa yake ni kuiondoa mazima na kuna mahali zinauzwa..

Nikamwambia hapana tukitoa gari litawasha CHECK ENGINE LIGHT.....akanijibu ikiwasha CEL tunatoa hiyo bulb ya Check engine ili kwenye dash tusione kama inawaka kwa sababu ndiyo hivyo huwa wanafanya..

My take....
Gari lako linaweza likawasha check engine fundi akakuambia kama upo busy job...niambie nikachuke gari niizime hiyo taa uje uchukue gari jioni.. kwa kifupi nimegundua mafundi wengi wanaharibu tu ile bulb na kukurudishia gari lakini tatizo husika linabaki pale pale mfano kama ni sensor imekufa inabakia kuwa mbovu vile vile
Ndiyo maana kila kukicha watu hawaishi kuja hapa jukwaani kulalamika wapi nitapata engine used yangu imekufa...kumbe chanzo ni mafundi wetu..sisemi wote ila mafundi wengi wanapenda short cut ili mradi wapate pesa na hawapendi kujiongeza kusoma.

Nimeona nitoe haya ili uwe makini na hawa jamaa wanaojiita mafundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa ujumla mafundi Bongo ni pasua kichwa, si wa magari pekee.
 
Fundi mmoja, na yeye pia hakikisha unamsimamia. Which means lazima uwe na idea gari lako lina shida gani. Sio unapeleka kwa fundi tu bila kujua nini kinaendelea.
 
Juzi kati nilikuwa najadiliana na fundi mmoja kuhusu catalytic converter ya gari kama kuna namna ya kuisafisha ili kupunguza carbon..
Fundi akaniambia hiyo dawa yake ni kuiondoa mazima na kuna mahali zinauzwa..

Nikamwambia hapana tukitoa gari litawasha CHECK ENGINE LIGHT.....akanijibu ikiwasha CEL tunatoa hiyo bulb ya Check engine ili kwenye dash tusione kama inawaka kwa sababu ndiyo hivyo huwa wanafanya..

My take....
Gari lako linaweza likawasha check engine fundi akakuambia kama upo busy job...niambie nikachuke gari niizime hiyo taa uje uchukue gari jioni.. kwa kifupi nimegundua mafundi wengi wanaharibu tu ile bulb na kukurudishia gari lakini tatizo husika linabaki pale pale mfano kama ni sensor imekufa inabakia kuwa mbovu vile vile
Ndiyo maana kila kukicha watu hawaishi kuja hapa jukwaani kulalamika wapi nitapata engine used yangu imekufa...kumbe chanzo ni mafundi wetu..sisemi wote ila mafundi wengi wanapenda short cut ili mradi wapate pesa na hawapendi kujiongeza kusoma.

Nimeona nitoe haya ili uwe makini na hawa jamaa wanaojiita mafundi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ni sawa na kumshambulia zito aliyetoa taarifa ya 1.5t na kumuacha wa gywe anapeta[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha wakuu mbona mnatutupia sana mawe aisee..mnatukatisha sana tamaa ..

Lkn na nyie mmezidi kuleta dharau kwa mafundi.. unakuja nakutajia bei ya chek up nakwambia elfu 50 unawaka na kulalama kweli kweli so mnataka mfanyiwe vipi mnasahau check up ndio ufundi wenyewe na sio kubadilisha au funga spea??. Eti unakuja na dharau kwani mashine bei gani wengine wanasema mm mwenyewe ni mtu wa IT sema nakugawia riziki tuu hiyo softwere naweza install na kupima gari unamwambia basi fanya hivyo then lete nikupimie bure..unakuja na gari yako ya milion 10 au 8 sijui 5 unaleta dharau kwa fundi wakati fundi garama ya mashine zake ni mara 2 au 3 ya dhamani ya gari yako..
 
Back
Top Bottom