Kwa mtaji huu mafundi wa kibongo mtaua magari yote ya watanzania

Kwa mtaji huu mafundi wa kibongo mtaua magari yote ya watanzania

Hahahaha wakuu mbona mnatutupia sana mawe aisee..mnatukatisha sana tamaa ..

Lkn na nyie mmezidi kuleta dharau kwa mafundi.. unakuja nakutajia bei ya chek up nakwambia elfu 50 unawaka na kulalama kweli kweli so mnataka mfanyiwe vipi mnasahau check up ndio ufundi wenyewe na sio kubadilisha au funga spea??. Eti unakuja na dharau kwani mashine bei gani wengine wanasema mm mwenyewe ni mtu wa IT sema nakugawia riziki tuu hiyo softwere naweza install na kupima gari unamwambia basi fanya hivyo then lete nikupimie bure..unakuja na gari yako ya milion 10 au 8 sijui 5 unaleta dharau kwa fundi wakati fundi garama ya mashine zake ni mara 2 au 3 ya dhamani ya gari yako..
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]si kwamba tunawaponda boss...
kuna baadhi ya mafundi wanaiangusha taaluma ya ufundi...hawataki kusoma mifumo mipya....
sasa kweli na wewe pima tu wazo lw huyo fundi eti atoe bulb ya check engine ili isionekane...
Mmmh kweli nilikimbia sijarudi na sidhani kama nitarudi kwa yule jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mimi nilishawahi kufanyiwa hicho kitu baada ya fundi kuangalia tatizo na kutokuliona aliona solution ni kutoa bulb na maisha yakaendelea,mpaka nilipokuja kuuza hiyo gari ndani ya miaka ipatayo 2 hivi,haukusumbua chochote kwenye engine..
 
Ila mimi nilishawahi kufanyiwa hicho kitu baada ya fundi kuangalia tatizo na kutokuliona aliona solution ni kutoa bulb na maisha yakaendelea,mpaka nilipokuja kuuza hiyo gari ndani ya miaka ipatayo 2 hivi,haukusumbua chochote kwenye engine..
Hilo gari inaelekea liliteseka ni vile tu lilikuwa halisemi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom