Kwa mtaji huu mafundi wa kibongo mtaua magari yote ya watanzania

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]si kwamba tunawaponda boss...
kuna baadhi ya mafundi wanaiangusha taaluma ya ufundi...hawataki kusoma mifumo mipya....
sasa kweli na wewe pima tu wazo lw huyo fundi eti atoe bulb ya check engine ili isionekane...
Mmmh kweli nilikimbia sijarudi na sidhani kama nitarudi kwa yule jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila mimi nilishawahi kufanyiwa hicho kitu baada ya fundi kuangalia tatizo na kutokuliona aliona solution ni kutoa bulb na maisha yakaendelea,mpaka nilipokuja kuuza hiyo gari ndani ya miaka ipatayo 2 hivi,haukusumbua chochote kwenye engine..
 
Ila mimi nilishawahi kufanyiwa hicho kitu baada ya fundi kuangalia tatizo na kutokuliona aliona solution ni kutoa bulb na maisha yakaendelea,mpaka nilipokuja kuuza hiyo gari ndani ya miaka ipatayo 2 hivi,haukusumbua chochote kwenye engine..
Hilo gari inaelekea liliteseka ni vile tu lilikuwa halisemi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…