Kwa mtaji wa 25 million nifanye biashara gani?

Mkuu unauhakika uber anaweza kulaza 40 per day?
 
Sijawahi kufanya biashara ya aina yeyote isipokuwa nimefanikiwa kukusanya kiasi cha Tshs 25/-m ambazo nafikiria kujiajiri kwa kufanya biashara.

Naomba wazoefu wa Jiji la Dar mnipe ushauri juu ya biashara ya kufanya tafadhali.
Biashara ya kutoa mbao Iringa kupeleka sehemu zenye upungufu ni deal, jaribu!!
 
Fungua duka la jumla lenye bidhaa mchanganyoko na vinywaji vyote
Tagufuta vijana 2 salesmen wa kutafuta order madukani na kusambaza mitaani kwa kitumia baskeli na mkokoteni mshahara wao no 80x2 = 160.000
Uwe wakala wa vinywaji vya Mo , Azam, Maji Afya na Pespsi

Ambapo unakua na uhakika wa kuuzia wenye maduka madogo kwa eneo kubwa
Kwa mil 25 faida kwa mwezi ni 3m
Biashara ya jumla haina hasara
 
Sijawahi kufanya biashara ya aina yeyote isipokuwa nimefanikiwa kukusanya kiasi cha Tshs 25/-m ambazo nafikiria kujiajiri kwa kufanya biashara.

Naomba wazoefu wa Jiji la Dar mnipe ushauri juu ya biashara ya kufanya tafadhali.
Mkuu lete mrejesho Basi, biashara ipi unayoona inakutoa? Au bado upo kwenye research?
 
watu kila Siku lazima wale chakula na kila Siku watu wanasafiri angalia kati ya hizo zinafaa
Na watu wanaumwa deile, so wazo la mdau hapo juu la kifungua duka la dawa baridi almaarufu famasi ni wazo zuri kama unahitaji biashara stable
 
OK mkuu sawa kila mmja na uzoefu wake
 
Kawaida kwenye hali ya namna hii ambako hakuna mzunguko wa pesa huwa tuna angalia biashara zinazogusa mahitaji ya lazima kama vile makazi, magadhi na chakula tunaweza kusubiri hali hii ipite labda 2025 kwa kupunguza manunuzi ya mvavazi na kuachana na ujenzi lakini hatuwezi kuacha kula kwani tuta dead. hivyo ushauri wangu wekeza mzigo kwenye kilimo focus kwenye nafaka especially mpunga ukiweza kupata maeneo ambayo utaweza kununua mashine ukamwagilia hivyo kulima mwaka mzima itakuwa bora zaidi to me ndio naona njia pekee ya kutunza na kukuza mtaji wako mpaka tuvuke hapa tulipo.
 
Mtoto mmoja akilipia 30,000*8=240,000 hayo ndo mauzo yako ya mwezi usizidishe 30 maana inalipwa mara moja kwa mwezi kifupi biashara hiyo hailipi
 
Jamaa yangu ameomba ushauri,nimeona nilete jamvini:

Nimejifunza mengi kwa muda mrefu,...ninafanya shughuli nyingine ambayo inanihitaji niwepo muda mwingi....lakini nina mtaji kama 20m ambayo ninataka kuwekeza sehemu nyingine ili niongeze wigo wa kipato lakini napata changamoto ya kuwekeza ukizingatia sintokuwepo full time sababu

1. Asilimia 95% ya fursa zinazotangazwa ni za kitapeli kama vile Namaingo,BitClub,Forex nk kote huko nimepigwa vya kutosha

2. Nikifungua biashara na kumuweka kijana ...ni maumivu matupu kwani sasa nimeamini hakuna kijana wa kumpa kazi akafanya na ukatengeneza hela

3. Biashara za mtandaoni 99% ni za kitapeli

Sasa nimekwama kabisa. Natafuta mawazo mapya kama yapo.
Duh hata mimi nakuna kichwa, mwenye wazo jipya anakaribishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…