GOD my watcher
JF-Expert Member
- Oct 9, 2019
- 298
- 271
Heri kwenu sote wanajukwaa mlioalikwa kwenye uzi huu kama nilivyonena hapo juu.
mimi ni kijana nipo kuomba ushauri juu ya biashara ya kufungua duka la spear ya vitu vya kieletronics kama ambayo baadhi nmevitaja juu..pia ikumbukwe mimi ni fundi wa hivyo vitu.
Eneo nililopanga kufungua ni kahama au katoro pia kama kuna sehem nyingine yenye watu wengi ambayo haina mafundi nijuzeni.
pia kama unajua chimbo la spear hizo nambie.
Nakaribisha maoni na ushauri, vifaa vya ufundi vipo.
mimi ni kijana nipo kuomba ushauri juu ya biashara ya kufungua duka la spear ya vitu vya kieletronics kama ambayo baadhi nmevitaja juu..pia ikumbukwe mimi ni fundi wa hivyo vitu.
Eneo nililopanga kufungua ni kahama au katoro pia kama kuna sehem nyingine yenye watu wengi ambayo haina mafundi nijuzeni.
pia kama unajua chimbo la spear hizo nambie.
Nakaribisha maoni na ushauri, vifaa vya ufundi vipo.