GOD my watcher
JF-Expert Member
- Oct 9, 2019
- 298
- 271
- Thread starter
- #41
Asante sana unalijua vzr chimho la hivyo vitu au hata ukinipa mawasiliano tu itanisaidia sana.
tda 2030
tda 2050
tda 7377
Lm 324
vertical ICs
H.O.T transistor
power module aina tofauti totauti
universal circuit za TV
Zener diode 5v
resistors
diode 4007
power adapter za tv
amplifier circuit za radio
tranformers
Screws drivers
Capacitor zile zinazotumika sana kwenye tv za chogo 35volt, 160v, 25v, 63v
tda 2030
tda 2050
tda 7377
Lm 324
vertical ICs
H.O.T transistor
power module aina tofauti totauti
universal circuit za TV
Zener diode 5v
resistors
diode 4007
power adapter za tv
amplifier circuit za radio
tranformers
Screws drivers
Capacitor zile zinazotumika sana kwenye tv za chogo 35volt, 160v, 25v, 63v
Good mkuu
Vifaa vya ki electonics vipo vingi sana
Kuna Ic,transistors na vikolombwezo kibao
Ushauri wangu kwenye hizo ic chukua ambazo zina tumikia nyingi mtaani utauza!
Vifaa vitauzika sababu matatizo mengi yapo yanatokea
Uchukue vile vinavyoleta shida sana
Na hi utagundua sababu wengi watakuj kuulizia ulizia mala nyingi
Million 3 nn pesa nyingi kwa kuanzia
Keep it up!
Nkupe mfano tda2050 dar 700 tu
Iriywanauza hadi 2000/2500
Hiyo 7265 huwez kuigusa kizembe wakat dar wanauza rahisi sana
Hizi 5551 ni 100 ila iringa ni 500 moja!