Kwa mtaji wa laki 5 nifanye biashara gani?

Kwa mtaji wa laki 5 nifanye biashara gani?

Kua na subira, watakuja watu wakupe mawazo stahki.
 
Biashara ya haki huwezi zalisha faida zaidi ya laki mbili kama faida hapo itachezea laki na kitu

Cha kwanza kabisa tambua na iset akili kukuza mtaji ndani ya kipindi fulani ila sio kuwekeza laki tano uwaze kupata 2 million au hata 1 million big nooo....

Alafu tembea na fursa kutokana na mazingira rahisi ulionayo na unayoweza kuyafikia

Orodhesha fursa zilizopo na wangapi wanafanya na unaonaje mzunguko je uhitaji ni mkubwa? Kama bado chukua nafasi yako ongezeko lako kama halitopelekea uhitaji wa eneo hilo kuyumba hata kwenye bei ya bidhaa kushuka wekeza hapo.

Cha muhimu zaidi wekeza hela kwenye biashara unayo ijua na kutambua misimu yake lini iko hivi na lini iko vile itakusaidia kujua unawekeza nini kwa muda gani na demand itakuaje pamoja na faida utakao ingiza ndani ya muda gani kikubwa biashara ni kutulia

Mengine ya nyongeza utayapata ukianza biashara kikubwa laki 5 haiwezi zaa million note that kama ni biashara ya haki au hata laki 9 yaani uwe na faida ya laki 4 never!
 
Asante sana ndugu nahitaji mawazo kama haya mwenyew sidhamirii faida kubwa ila nataka biashara nzuri inayoendana na mtaji wangu kwa hapa mjini hata nikipata faida 50000 sijali

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unaishi wapi, nini ambacho kinahitaji ka hapo ulipo na hakipo, wewe mwenyewe unapenda nini, mimi binafsi ningekuambia utafute mtu akufundishe kutengeneza kashata za ufuta, kata kata kulingana na utavyopata faida, uza sehemu zenye watu wengi, uza jumla au rejareja, kwa siku utapata faida kubwa mnooo.
 
Biashara zipo nyingi Sana ni wewe una hobbies ya biashara gani.
 
Asante sana ndugu kwa mawazo yako...mimi niko Daresalaam
 
Laki 5 ni kama dola 200..

Nipe mimi hiyo hela niweke kwenye forex niwe nakupa laki 5 kila mwezi kama faida
 
Laki 5 ni kama dola 200..

Nipe mimi hiyo hela niweke kwenye forex niwe nakupa laki 5 kila mwezi kama faida
Vijana wasikuizi wakeshindwa kabisa kuwa wabunifu wanawaza vitu vya ovyo tu siju tumerogwa nanan.[emoji1787][emoji1787]
 
Kesho ni uefa

Man city winor draw

Psg win or draw

Buyern munich win or draw

Liverpool winor draw

Odds 1.94

Stake 500k ,

Payout 970k

Uoga wako ndio umasikini wako ,hakuna tajiri muoga ,Kila tajiri alirisk pesa na kupoteza bila kuchoka mwisho wa siku akatoboa [emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
 
Ndugu wadau mimi niko Daresalaam nina mtaji wa laki 5 tu..na sio mzoefu wa biashara kabisa ndugu naombeni mawazo, staki kukurupukia biashara naomba mawazo kwa uzoefu wenu ndugu wadau nifanye biashara gani?
Hapo ukiwa na odds 3 kila siku unatengeneza faida ya 700k
 
Back
Top Bottom