Tuambie mkuu, faida ndogo ndogo ndo tunazitakaUtaweza kuvumilia kupata faida kidogo?
Nipe mie mkuuningekupa biashara, watizo watoto wa mama kuchafuka hamuez
Tafuta zako uwekeze huko !Laki 5 ni kama dola 200..
Nipe mimi hiyo hela niweke kwenye forex niwe nakupa laki 5 kila mwezi kama faida
Vijana wasikuizi wakeshindwa kabisa kuwa wabunifu wanawaza vitu vya ovyo tu siju tumerogwa nanan.[emoji1787][emoji1787]Laki 5 ni kama dola 200..
Nipe mimi hiyo hela niweke kwenye forex niwe nakupa laki 5 kila mwezi kama faida
[emoji23][emoji23] thubutu.Laki 5 ni kama dola 200..
Nipe mimi hiyo hela niweke kwenye forex niwe nakupa laki 5 kila mwezi kama faida
Hapo ukiwa na odds 3 kila siku unatengeneza faida ya 700kNdugu wadau mimi niko Daresalaam nina mtaji wa laki 5 tu..na sio mzoefu wa biashara kabisa ndugu naombeni mawazo, staki kukurupukia biashara naomba mawazo kwa uzoefu wenu ndugu wadau nifanye biashara gani?