Kwa mtaji wa milioni 3 naweza kuingia shambani nikalima kisasa?

Kwa mtaji wa milioni 3 naweza kuingia shambani nikalima kisasa?

Prakatatumba abaabaabaa

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2022
Posts
1,842
Reaction score
6,087
Huu ulimwengu, game ni tight sana hasa upande wa kutafuta pesa, kuna saving zangu kama million 3 nimeamua kurisk shambani sina matarajio makubwa lakini najua itakua ni sehemu ya kujifunza.

Hii mada inahusu wazoefu tu, nipo kasulu nafikiria kulima maharage na mahindi kwa msimu unaokuja, nimejaribu kutafuta bonde lakini mambo yamekua magumu, watu wanalima kwa kutegemea msimu, kuna watu waliojaribu kulima mbali na wanapoishi?

Yaani mfano nakaa kasuku alafu nalima singida? /Mbeya?
 
Hela inatosha sana hiyo Kwa mkoa ulioutaja ila Lima heka mbili za maharage, mahindi Lima heka Moja Kwa haraka ukilima Kwa msimu matumizi yote ayawezi zaidi 1.3 m na inabidi upige kambi uko uko kilimo Cha Simu kimewagalagaza wengi.
 
Huu ulimwengu, game ni tight sana hasa upande wa kutafuta pesa, kuna saving zangu kama million 3 nimeamua kurisk shambani sina matarajio makubwa lakini najua itakua ni sehemu ya kujifunza.

Hii mada inahusu wazoefu tu, nipo kasulu nafikiria kulima maharage na mahindi kwa msimu unaokuja, nimejaribu kutafuta bonde lakini mambo yamekua magumu, watu wanalima kwa kutegemea msimu, kuna watu waliojaribu kulima mbali na wanapoishi?

Yaani mfano nakaa kasuku alafu nalima singida? /Mbeya?
Labda kienyeji
 
PART 1
Ni hivi nyumbani kigoma yanastawi zaidi maharage kwa mazao ya msimu. Kama unaamua kulima maharage. M3 yako utalima heka 3. Kila milioni heka 1. Humo ni pamoja na usafiri.
Kawaida heka moja kukodi laki 1 kulima kama Laki 1, kupanda kama 35. Utapiga dawa ya kuuua maguu kabla ya kupanda hivyo hutapalilia. Utapiga busta za kukuzia na matunda unaweza tumia 50000 kwa heka.
Kuvuna unaweza tena tumia 50000. Mbegu za kisasa utatumia debe 3@sh 50000. Mjolea ya kukuzia na kipanfia laki 2.
Jumla kuu .
Jumla kuu kama laki 750000. Kila milioni utabakiwa na 250000.
Mapato: heka 1 usipate chini ya madebe 32
Kwa sasa debe 1 ni sh. 45000 ×32= 1440000×3=5320000+ 750000(baki ktk mtaji)
Itakuwa na sh.m6 na 80000.
Hio 80000 unatafuta mtusi wa kukanda mwili ili upate nguvu ya kurudi mara ya 2 shambani.
Maharage mazuri yasio na HOMA hapa TZ ni ya kupanda mwezi wa 2 na 3. Haya uhakika.
Lakini ukiraka yafanye vizuri zaidi nunua mbolwa ta kuku gunia 5 kwa kila heka, ambapo utatumia kama laki kwa wastani wa heka 1. Ike 250000 oliobaki inaweza kukusaidia maana ni ya mtaji na changamoto.
Upandaji huuu nimejifunza kwa watu wa Mbeya, wapo serious sana na maharage.
Shukurani hii nimeichukua, na sehemu gani unapendelea zaidi? Uvinza, kasulu? Au kibondo? Nipo kigoma mjini
 
Part 3:
Project ya vitunguu ; hii inaweza kukutoa kabisa kwenye umasikini ila inahitaji kujifunza na kufika eneo sahihi. Kwa mtu unaejitafuta unatakiwa uwe makini sana na ufuatilie data zinavyobadirika. Soma trend ndani ya mwaka price viriation inavyokwenda.
"Boom and recession" zinatokea wakati gani. Kutoka hii july mpaka sept unaweza pata vision ya bei ya jan to may 2025 ambapo itakuwa aidha Booom au recession.
Mwaka huu niliiona trend ila kwa sababu sikuwa mazingira rafiki sikulima ila pesa niliziona kabisa kwa trend ilivyoenda.
Sasa unatakiwa ujipe task ya kufuatolia uzalishaji wa kutunguuu ulivyo sasa na bei iliopo kisha weka mkakati. Price kwa sasa sio mbaya hasa huku Njombe na Mbeya vinapolimwa vitunguu.
Ubaya wa vitunguu vikiporomoka vinakuwa lita sh 500 hapo lazima ikukate.
Kwa hio mil3 zako zinaweza kukupa milioni 10 ndani ya miezi 3. Vitunguu unalazimika ufuate mabonde ya vitunguu TZ. Sio kila mahala vinastawi vitunguu bali baadhi ya maeneo tu.
Maeneo mazuri ni Singida, Mbeya, Njombe, Arusha na Morogoro. Huko ndio maarufu na wanamisimu tofauti, sina hakika kama kwetu kigoma kuna bonde linalostawisha vitunguu vya KIBIASHARA.
Mimi binafsi kama trend itaenda vizuti ningekushauri ulime vitunguu msimu ndio huuu na utavuna na kwenda kulima tena maharage kama part 1 na 2.
Maharage ni zao lenye kipato kisichokuwa kikubwa na yakupasa ulime pakubwa sana il8 utoboe kimahesabu. Vitunguu heka moja unaweza pata faida mara 5 ya maharage kwa mtaji ule ule.
Vitunguu vinahitaji skillls kubwa sana kuvilima kulinganisha na maharage. Vitunguu zaidi ni kiangazi na maharage ni mda wote. Kama utachagua kulima vitunguu safiri uende kwenye mabonde ya vitunguu.
Usilime mazao ya mazoea kama mpunga au mahindi. Trend yake huwa haisomeki. Boom nzuri ipo kwenye vitunguu, Viazi mviringo na nyanya za masika. Naishia hapo.
Linda mtaji wako usikurupuke utafilisika, chagua eneo litakalokupa matokeo ya haraka.
Asante sana
 
PART 1
Ni hivi nyumbani kigoma yanastawi zaidi maharage kwa mazao ya msimu. Kama unaamua kulima maharage. M3 yako utalima heka 3. Kila milioni heka 1. Humo ni pamoja na usafiri.
Kawaida heka moja kukodi laki 1 kulima kama Laki 1, kupanda kama 35. Utapiga dawa ya kuuua maguu kabla ya kupanda hivyo hutapalilia. Utapiga busta za kukuzia na matunda unaweza tumia 50000 kwa heka.
Kuvuna unaweza tena tumia 50000. Mbegu za kisasa utatumia debe 3@sh 50000. Mjolea ya kukuzia na kipanfia laki 2.
Jumla kuu .
Jumla kuu kama laki 750000. Kila milioni utabakiwa na 250000.
Mapato: heka 1 usipate chini ya madebe 32
Kwa sasa debe 1 ni sh. 45000 ×32= 1440000×3=5320000+ 750000(baki ktk mtaji)
Itakuwa na sh.m6 na 80000.
Hio 80000 unatafuta mtusi wa kukanda mwili ili upate nguvu ya kurudi mara ya 2 shambani.
Maharage mazuri yasio na HOMA hapa TZ ni ya kupanda mwezi wa 2 na 3. Haya uhakika.
Lakini ukiraka yafanye vizuri zaidi nunua mbolwa ta kuku gunia 5 kwa kila heka, ambapo utatumia kama laki kwa wastani wa heka 1. Ike 250000 oliobaki inaweza kukusaidia maana ni ya mtaji na changamoto.
Upandaji huuu nimejifunza kwa watu wa Mbeya, wapo serious sana na maharage.
Hii sehemu sijaelewa, "mbolwa ya kuku gunia tano ni nini? Au unamaanisha mbolea ya kuku gunia tano?, then nilikuuliza unanishauri kilimo changu nifanye wilaya hipi? Au popote yanakubali? Kesho nilikua na tour ya kwenda kasulu nikafatilie mashamba.
 

Attachments

  • PXL_20240705_140717765.jpg
    PXL_20240705_140717765.jpg
    1.7 MB · Views: 8
PART 1
Ni hivi nyumbani kigoma yanastawi zaidi maharage kwa mazao ya msimu. Kama unaamua kulima maharage. M3 yako utalima heka 3. Kila milioni heka 1. Humo ni pamoja na usafiri.
Kawaida heka moja kukodi laki 1 kulima kama Laki 1, kupanda kama 35. Utapiga dawa ya kuuua maguu kabla ya kupanda hivyo hutapalilia. Utapiga busta za kukuzia na matunda unaweza tumia 50000 kwa heka.
Kuvuna unaweza tena tumia 50000. Mbegu za kisasa utatumia debe 3@sh 50000. Mjolea ya kukuzia na kipanfia laki 2.
Jumla kuu .
Jumla kuu kama laki 750000. Kila milioni utabakiwa na 250000.
Mapato: heka 1 usipate chini ya madebe 32
Kwa sasa debe 1 ni sh. 45000 ×32= 1440000×3=5320000+ 750000(baki ktk mtaji)
Itakuwa na sh.m6 na 80000.
Hio 80000 unatafuta mtusi wa kukanda mwili ili upate nguvu ya kurudi mara ya 2 shambani.
Maharage mazuri yasio na HOMA hapa TZ ni ya kupanda mwezi wa 2 na 3. Haya uhakika.
Lakini ukiraka yafanye vizuri zaidi nunua mbolwa ta kuku gunia 5 kwa kila heka, ambapo utatumia kama laki kwa wastani wa heka 1. Ike 250000 oliobaki inaweza kukusaidia maana ni ya mtaji na changamoto.
Upandaji huuu nimejifunza kwa watu wa Mbeya, wapo serious sana na maharage.
Samahan, huyo mtusi naeza pata namba yake mapema kabla sijaanza kilimo?
Asante.
 
Back
Top Bottom