Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
Nielimishe mkuuKwa sababu wewe ni Wachu ntakupa elimu . Hio hela ni nyingi sana. Ntakuelimisha ndugu yangu saa hizi usiku umeingia muda wa kulala.
Labda kienyejiHuu ulimwengu, game ni tight sana hasa upande wa kutafuta pesa, kuna saving zangu kama million 3 nimeamua kurisk shambani sina matarajio makubwa lakini najua itakua ni sehemu ya kujifunza.
Hii mada inahusu wazoefu tu, nipo kasulu nafikiria kulima maharage na mahindi kwa msimu unaokuja, nimejaribu kutafuta bonde lakini mambo yamekua magumu, watu wanalima kwa kutegemea msimu, kuna watu waliojaribu kulima mbali na wanapoishi?
Yaani mfano nakaa kasuku alafu nalima singida? /Mbeya?
Kienyeji nini sasa? Toa mchango unaoelewekaLabda kienyeji
Shukurani hii nimeichukua, na sehemu gani unapendelea zaidi? Uvinza, kasulu? Au kibondo? Nipo kigoma mjiniPART 1
Ni hivi nyumbani kigoma yanastawi zaidi maharage kwa mazao ya msimu. Kama unaamua kulima maharage. M3 yako utalima heka 3. Kila milioni heka 1. Humo ni pamoja na usafiri.
Kawaida heka moja kukodi laki 1 kulima kama Laki 1, kupanda kama 35. Utapiga dawa ya kuuua maguu kabla ya kupanda hivyo hutapalilia. Utapiga busta za kukuzia na matunda unaweza tumia 50000 kwa heka.
Kuvuna unaweza tena tumia 50000. Mbegu za kisasa utatumia debe 3@sh 50000. Mjolea ya kukuzia na kipanfia laki 2.
Jumla kuu .
Jumla kuu kama laki 750000. Kila milioni utabakiwa na 250000.
Mapato: heka 1 usipate chini ya madebe 32
Kwa sasa debe 1 ni sh. 45000 ×32= 1440000×3=5320000+ 750000(baki ktk mtaji)
Itakuwa na sh.m6 na 80000.
Hio 80000 unatafuta mtusi wa kukanda mwili ili upate nguvu ya kurudi mara ya 2 shambani.
Maharage mazuri yasio na HOMA hapa TZ ni ya kupanda mwezi wa 2 na 3. Haya uhakika.
Lakini ukiraka yafanye vizuri zaidi nunua mbolwa ta kuku gunia 5 kwa kila heka, ambapo utatumia kama laki kwa wastani wa heka 1. Ike 250000 oliobaki inaweza kukusaidia maana ni ya mtaji na changamoto.
Upandaji huuu nimejifunza kwa watu wa Mbeya, wapo serious sana na maharage.
Sipo kigoma na hayo nayoandika nimejifunza kwenye mizunguko.Shukurani hii nimeichukua, na sehemu gani unapendelea zaidi? Uvinza, kasulu? Au kibondo? Nipo kigoma mjini
Asante sanaPart 3:
Project ya vitunguu ; hii inaweza kukutoa kabisa kwenye umasikini ila inahitaji kujifunza na kufika eneo sahihi. Kwa mtu unaejitafuta unatakiwa uwe makini sana na ufuatilie data zinavyobadirika. Soma trend ndani ya mwaka price viriation inavyokwenda.
"Boom and recession" zinatokea wakati gani. Kutoka hii july mpaka sept unaweza pata vision ya bei ya jan to may 2025 ambapo itakuwa aidha Booom au recession.
Mwaka huu niliiona trend ila kwa sababu sikuwa mazingira rafiki sikulima ila pesa niliziona kabisa kwa trend ilivyoenda.
Sasa unatakiwa ujipe task ya kufuatolia uzalishaji wa kutunguuu ulivyo sasa na bei iliopo kisha weka mkakati. Price kwa sasa sio mbaya hasa huku Njombe na Mbeya vinapolimwa vitunguu.
Ubaya wa vitunguu vikiporomoka vinakuwa lita sh 500 hapo lazima ikukate.
Kwa hio mil3 zako zinaweza kukupa milioni 10 ndani ya miezi 3. Vitunguu unalazimika ufuate mabonde ya vitunguu TZ. Sio kila mahala vinastawi vitunguu bali baadhi ya maeneo tu.
Maeneo mazuri ni Singida, Mbeya, Njombe, Arusha na Morogoro. Huko ndio maarufu na wanamisimu tofauti, sina hakika kama kwetu kigoma kuna bonde linalostawisha vitunguu vya KIBIASHARA.
Mimi binafsi kama trend itaenda vizuti ningekushauri ulime vitunguu msimu ndio huuu na utavuna na kwenda kulima tena maharage kama part 1 na 2.
Maharage ni zao lenye kipato kisichokuwa kikubwa na yakupasa ulime pakubwa sana il8 utoboe kimahesabu. Vitunguu heka moja unaweza pata faida mara 5 ya maharage kwa mtaji ule ule.
Vitunguu vinahitaji skillls kubwa sana kuvilima kulinganisha na maharage. Vitunguu zaidi ni kiangazi na maharage ni mda wote. Kama utachagua kulima vitunguu safiri uende kwenye mabonde ya vitunguu.
Usilime mazao ya mazoea kama mpunga au mahindi. Trend yake huwa haisomeki. Boom nzuri ipo kwenye vitunguu, Viazi mviringo na nyanya za masika. Naishia hapo.
Linda mtaji wako usikurupuke utafilisika, chagua eneo litakalokupa matokeo ya haraka.
Hii sehemu sijaelewa, "mbolwa ya kuku gunia tano ni nini? Au unamaanisha mbolea ya kuku gunia tano?, then nilikuuliza unanishauri kilimo changu nifanye wilaya hipi? Au popote yanakubali? Kesho nilikua na tour ya kwenda kasulu nikafatilie mashamba.PART 1
Ni hivi nyumbani kigoma yanastawi zaidi maharage kwa mazao ya msimu. Kama unaamua kulima maharage. M3 yako utalima heka 3. Kila milioni heka 1. Humo ni pamoja na usafiri.
Kawaida heka moja kukodi laki 1 kulima kama Laki 1, kupanda kama 35. Utapiga dawa ya kuuua maguu kabla ya kupanda hivyo hutapalilia. Utapiga busta za kukuzia na matunda unaweza tumia 50000 kwa heka.
Kuvuna unaweza tena tumia 50000. Mbegu za kisasa utatumia debe 3@sh 50000. Mjolea ya kukuzia na kipanfia laki 2.
Jumla kuu .
Jumla kuu kama laki 750000. Kila milioni utabakiwa na 250000.
Mapato: heka 1 usipate chini ya madebe 32
Kwa sasa debe 1 ni sh. 45000 ×32= 1440000×3=5320000+ 750000(baki ktk mtaji)
Itakuwa na sh.m6 na 80000.
Hio 80000 unatafuta mtusi wa kukanda mwili ili upate nguvu ya kurudi mara ya 2 shambani.
Maharage mazuri yasio na HOMA hapa TZ ni ya kupanda mwezi wa 2 na 3. Haya uhakika.
Lakini ukiraka yafanye vizuri zaidi nunua mbolwa ta kuku gunia 5 kwa kila heka, ambapo utatumia kama laki kwa wastani wa heka 1. Ike 250000 oliobaki inaweza kukusaidia maana ni ya mtaji na changamoto.
Upandaji huuu nimejifunza kwa watu wa Mbeya, wapo serious sana na maharage.
Sawa mkuu, nakucheck DM kuna sehemu nimeambiwa wanapaita kagerankanda ndio kilimo ufanyika, vipi bei ya mahindi ni ngapi huko store?Nipo kasulu bro njoo tubonge story mbili tatu nikupe muongozo..
Mahindi ya namna hii, ngapi hapo kasulu?Nipo kasulu bro njoo tubonge story mbili tatu nikupe muongozo..
Samahan, huyo mtusi naeza pata namba yake mapema kabla sijaanza kilimo?PART 1
Ni hivi nyumbani kigoma yanastawi zaidi maharage kwa mazao ya msimu. Kama unaamua kulima maharage. M3 yako utalima heka 3. Kila milioni heka 1. Humo ni pamoja na usafiri.
Kawaida heka moja kukodi laki 1 kulima kama Laki 1, kupanda kama 35. Utapiga dawa ya kuuua maguu kabla ya kupanda hivyo hutapalilia. Utapiga busta za kukuzia na matunda unaweza tumia 50000 kwa heka.
Kuvuna unaweza tena tumia 50000. Mbegu za kisasa utatumia debe 3@sh 50000. Mjolea ya kukuzia na kipanfia laki 2.
Jumla kuu .
Jumla kuu kama laki 750000. Kila milioni utabakiwa na 250000.
Mapato: heka 1 usipate chini ya madebe 32
Kwa sasa debe 1 ni sh. 45000 ×32= 1440000×3=5320000+ 750000(baki ktk mtaji)
Itakuwa na sh.m6 na 80000.
Hio 80000 unatafuta mtusi wa kukanda mwili ili upate nguvu ya kurudi mara ya 2 shambani.
Maharage mazuri yasio na HOMA hapa TZ ni ya kupanda mwezi wa 2 na 3. Haya uhakika.
Lakini ukiraka yafanye vizuri zaidi nunua mbolwa ta kuku gunia 5 kwa kila heka, ambapo utatumia kama laki kwa wastani wa heka 1. Ike 250000 oliobaki inaweza kukusaidia maana ni ya mtaji na changamoto.
Upandaji huuu nimejifunza kwa watu wa Mbeya, wapo serious sana na maharage.