Hajulikani
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 273
- 249
Naombeni ushauri kwa mtaji wa mllion moja naweza kuanzisha biashara gan itakayo lipa haraka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo,mwanza tukuuzie majola ya nguo kwa bei nafuu uka uze iringa kwabei ya biashara..
Ukiwa na laki tatu ni mzigo mkubwa nafaida yake sichini ya lakinne...
Mfano ukichukua ,makoti,mablanketi mazito kwa shilingi elfu nane moja bei ya jumla iringa utakwenda kuuza elfu ishirini rejareja hadi elfu kuminanane hadi ishirini na tano,nabiashara ina kwenda faster tu,milioni moja ni kubwa sana kwa biashara.