Kwa mtaji wa Tsh 150, 000

Kwa mtaji wa Tsh 150, 000

Kama upo dsm,
1:Nunua matunda sokon temeke nenda nayo Sinza katakata weka kwenye pakeji vizuri tafuta kimvuli weka meza utauza! Vijana wa Sinza hawawez menya matunda.
2: Nunua miwa Nenda bagamoyo road tafuta stand nzuri katakata weka kwenye vifuko unauza.
3: Point nguo za watoto na wadada kali karume au ilala asubuh wakiwa wanachana mabalo, ingia nazo mtaani hasa mitaa ya kishua tembeza mlango tu mlango na vyuoni getin..
4....
 
Back
Top Bottom