anachoma na mafuta au na mkaa? Maana kiswahili hiki kigumu kidogo,wapo wanaochukua nyama wakachoma kama maindi mfano wa kubanika kuna siku nilionja nikashangaa utamu wake 😜😝Wazo zuri... Kuna kijana amefanya kitu kama hiki pale mtaani kwetu, kafungua ana miezi miwili sasa. Anasababisha karibia kila siku nakula kuku😋, na wateja wanaongezeka kila siku ila yeye kuku anachoma.
Anaanza kuuza mida ya saa 9/10
Ndio maana kila kitu hapo nimeandika Makadilio nina maana si bei halisi inaeza kupungua au kuongezeka,. em nawewe toa ushauli wako wadau wapate faida.Duh..!!,huyo kuku wa 18,000 Ni kuku au ndege mwarabu mkuu?,maana hiyo Bei inakaribia Bei ya mwanambuzi
Nimekupata mkuu kuna mtu alinishawishi ninunue lakini sikumwelewa maelezo yake350,000/= size ndogo
Huwez jutia.
Hahahaa anachoma kama mahindi, yeah ni watamu mno ukikuta anayejua kumarinate vizuri.anachoma na mafuta au na mkaa? Maana kiswahili hiki kigumu kidogo,wapo wanaochukua nyama wakachoma kama maindi mfano wa kubanika kuna siku nilionja nikashangaa utamu wake 😜😝
Unanijaza mate mdomoni nakumbuka ni kweli wanaradha flani ivi yatofautiHahahaa anachoma kama mahindi, yeah ni watamu mno ukikuta anayejua kumarinate vizuri.
Me napenda sababu nyama inakua haina mafuta mengi tofauti na wale wa kukaanga
Kisiwa kipo ndani ya wilaya ya muleba mkoani Kagera.Hicho Kisiwa kipo ndani ya wilaya/mkoa gani? Na Logistic za kufika hapo zikoje?
Mnao taka ufafanuz wa biashara ya dagaa naomba mseme mkoa mlipo ili nitoe maelezo ya kina na gharama za nauli ya kusafirisha mzigo
Kisiwa kipo ndani ya wilaya ya muleba mkoani Kagera. Wengi huenda huko kupitia bandari kuu ya kemondo iliyoko bukoba vijijin. Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi niko ushirombo geita hebu elezea kiunaga ubaga juu ya issue ya dagaa nafikiria juu ya dagaa ila sijui abc zakeMnao taka ufafanuz wa biashara ya dagaa naomba mseme mkoa mlipo ili nitoe maelezo ya kina na gharama za nauli ya kusafirisha mzigo
yan mn nimehis njaaa kaflaaa akili inawaza kuku tu apaUnanijaza mate mdomoni nakumbuka ni kweli wanaradha flani ivi yatofauti
ha ha ha ha ha ha ha teh teh teh tehyan mn nimehis njaaa kaflaaa akili inawaza kuku tu apa
samahani mkuu hiyo biashara ya bisi ikoje unaweza fafanua kdg.faida na hasara zake piah
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu ngumu kumanage ishu ya mafuta, unakuta mtu anatumia mafuta mda mrefu mpaka yanabadilika rangi yanakuwa meusiiiiii, bora wa kuchoma!Hahahaa anachoma kama mahindi, yeah ni watamu mno ukikuta anayejua kumarinate vizuri.
Me napenda sababu nyama inakua haina mafuta mengi tofauti na wale wa kukaanga