Kwa mtaji wa Tsh. 400,000/- naweza fanya biashara gani?

Kwa mtaji wa Tsh. 400,000/- naweza fanya biashara gani?

Mkuu kutokana na mifuko mipya kuwa ghali kiasi 500 kiendelea....basi kuna baadhi ya sehem na maduka wanatumia makaratasi ya magazeti so wewe unaweza anza tengeneza bahasha za kaki kwa ukunwa tofauti alafu unapitisha madukani, mabuchani,maduka ya nguo, vibandani ndogo kwa bei 300 tu mkuu tena uuuze jumla...
Ewaah! Hapo jinsi ya kutengeneza
 
Ewaah! Hapo jinsi ya kutengeneza
Wanatengeneza hivo mkuu....ukiongeza kamba za katani kwa juu kwa package kubwa inakuwa nzuri....kwa ndogo acha hvohvo tu.....hakikisha zinakuwa na ukubwa mbalimbali nyingi ziwe na ule ukubwa wa rambo za 100 zamani....

Ukishindwa elewa hizo picha, jaribu kugoogle how to create paper bag youtube au kwa kiswhaili jinsi ya kutengeneza mifuko ya kaki/vifungashio vya kakiView attachment 1726604
f0ca1bb977822939bf3db39bbe0db5dc.jpeg
554c068a1a10ad60653bae6079372c6c.jpeg
 
Kama upo maeneo ya kanda ya ziwa nenda kisiwa kimoja kinaitwa Goziba kusanya samaki mzigo ukiwa mkubwa nenda kauze samaki na bondo. Hiyo 400,000 nakuhakikishia kwa wiki utapata zaidi ya 100,000 faida.

Ukiachana na hiyo ya samaki chukua dagaa kauzie mwaloni kirumba kakusanye huko bukoba na hii utakuja kutoa ushuhuda hapa tena kuhusiana na dagaa nitafute nikupe maelekezo yote make nailewa sana.

Nenda ushirombo au Simiyu kusanya kuku wa kienyeji afu uje kuuza Mwanza mjini kwa bei ya jumla. Man biashara ipo nyingi sana. But deal na chakula kwa muda huu
Umeongea point kubwa Sana mkuu
 
afanye biashara ya nguo za mtumba za kupoint sio belo (kupunguza risk ya kupata mzigo mbaya) ilala boma na karume ndio kuzuri ilala boma nguo zinaanzia 1500, 2000 hiyo ni kwa shiffon blouse,masweta mazuri,top etc... skin jenas 3000 na 4000 na magauni mazuri ni 2000 na 3000....anapoint ananyosha anaingiza sokoni kwa bei ua elfu 6000 tu hadi 7000 atapata pesa akiifanya kaka machinga aachane na frame.....

**** biashara ya kutengeneza bahasha za kaki hii inalipa kama eneo lako halijapata huduma hii...hapo ela ni kaki zenyewe na gundi ya maji....

**** biashara ya kuku wa kienyeji kuifanya kwa kutoa vijijini na kuweka mjini, na kuwakuza alafu kipindi cha sikukuu unawauza....ila hii ni changamoto sana hasa sehem ya kufugia....

Kununua nguo za ndani za kina dada na kuzizungusha majimbani na saloon etc dozen zake zinapatikana kariakoo kwa quality mbalimbali.....

Kuchoma mishikaki na kuuza stand za mabasi ukizingatia usafi na njia bora ya uchomaji utapata hata 25000 kwa siku....

Kuna biashara ya kukaanga mihogo na kuku wa kisasa na kumkata vipande vya 500 tu viwe vingi kukuletea 12000 maana kuku wa nyama ni 6000 hadi 6500....mihogo sijajua ulipo kata midogo kiasi uza 200 kaanga vizuri, unaweza jifunza kukaanga viazi vya mayai (vnavyotumia ngano) vnauza pia.....watu mtaani wavivu kupika hizo ndio menu zao

Unaweza kuwa unafanya biashara ya kusambaza bidhaa madukani kama mikate, mayai, dagaa etc....hautatoka mtupu mkuu....

hiyo biashara ya nguo nilikuwa naingiza elfu 50000 kwa mtaji wa 250000 ila hapo 22 ni mtaji 28 ndio ya kula na mambo mengine nikaacha sababu ya ajira ila ni profitable business hasa kwa nguo za wadada
Mkuu kwenye bahasha za kaki hapa msaada kidogo
Je vile vibasha vidogo unauza kwa jumla vikiwa vingapi na bei unachaji vipi?
Na zile kubwa bei zipoje ?
 
Mkuu kwenye bahasha za kaki hapa msaada kidogo
Je vile vibasha vidogo unauza kwa jumla vikiwa vingapi na bei unachaji vipi?
Na zile kubwa bei zipoje ?
mkuu zile kwa ninae mjua anauza jumla kubwa kiasi ni 300 na ndogo ni 200 jumla.....sijajua kwa maeneo mengine maana kila mtu anabei yake ila cha kukumbuka ni kuwa bahasha kubwa inauzwa 400 dukani wewe inabidi uuze bei ya chini yake ndio maana anauza 300.....na ofcourse huwa maduka ya mjini wanamuungisha hadi bahasha 40 kwa siku.hizo kubwa huwa anamake 12000 ukitoa hela ya kununulia karatasi na gundi hakosi elfu 8 hadi elfu 9.

Ila kama kwenu bahasha kubwa zile zinauzwa 500 hadi 600 wewe uza zako 400 kwa jumla reja 300.
 
mkuu zile kwa ninae mjua anauza jumla kubwa kiasi ni 300 na ndogo ni 200 jumla.....sijajua kwa maeneo mengine maana kila mtu anabei yake ila cha kukumbuka ni kuwa bahasha kubwa inauzwa 400 dukani wewe inabidi uuze bei ya chini yake ndio maana anauza 300.....na ofcourse huwa maduka ya mjini wanamuungisha hadi bahasha 40 kwa siku.hizo kubwa huwa anamake 12000 ukitoa hela ya kununulia karatasi na gundi hakosi elfu 8 hadi elfu 9.

Ila kama kwenu bahasha kubwa zile zinauzwa 500 hadi 600 wewe uza zako 400 kwa jumla reja 300.
Nashukuru ngoja nifanye kautafiti huku mtaan kwetu .
 
Nina mtaji wa sh laki nne je naweza fanya biashara gani kama ujasiriamali?
1.Kijiwe cha kahawa.
Wazo langu laweza kuonekana la kipumbavu ila fungua kijiwe cha kahawa na kashata mkuu. Tafta eneo la stand au sokoni. Utajipatia chochote kitu daily. Kashata inatoa faida nusu kwa nusu. Unaweza kuwa mbunifu ukatengeneza kashata ambayo badala ya kuiuza sh.100 we utaiuza sh.500 itie hata flavour ya maziwa tu.

Vikombe vikubwa vya kahawa hata ukiuza kimoja jero sio mbaya. Mwanzo utakuwa mgumu ila wakikuzoea utakuwa umejenga base ya wateja wako maalumu. You will make money indeed. Pia weka na uji kama itafaa.

2.Kijiko cha nyamachoma.
Hii utanunua nyama za mafungu vingunguti pale. Utaanza kuzibanika mida ya jioni location iwe stand au kwenye barabara za makutano karibu na kituo cha daladala. Kata bei ya buku buku kwa kipande then unavibanika na kuwawekea na pilipili na ndimu pembeni au vinegar. Utatumia foil ku serve hio nyama ili usipate gharama ya kuosha osha sahani. Hakikisha usafi wako binafsi na mazingira ya meza unayofanyia kazi ambayo pembeni ndio itakuwa na jiko.

3.Kijiwe cha pweza.
Hii pia ni biashara nzuri ukiwa location nzuri. Utakula vichwa kama uko maeneo ya kituo cha daladala pembeni. Huwa lazma nitafunege wale wadudu mara nyingi na huwa sio ghali sana. Hii inaashiria hata mtaji wake hautakuwa mkubwa pia.

Mkuu jaribu hizo..Mtaji wake hautafika hata nusu ya hio hela ili ubakiwe na chenchi ya kusapoti biashara kadri inavyoanza kukua taratibu maana biashara inataka uvumilivu sana.
 
Uzuri wa biashara, jitoe akili kabisa

Usiweke analysis nyingi

Fanya kama akili imefyatuka, hapo utatoboa

Kupoteza pesa yote bila return ni kitu cha kawaida.

Kuna faida na hasara pia, so unakuwa tayari kwa lolote

Never give up, ni kuamka na kupambana
Biashara ni betting ambayo inakuwa real life na wewe ndio Key Player 😂
 
afanye biashara ya nguo za mtumba za kupoint sio belo (kupunguza risk ya kupata mzigo mbaya) ilala boma na karume ndio kuzuri ilala boma nguo zinaanzia 1500, 2000 hiyo ni kwa shiffon blouse,masweta mazuri,top etc... skin jenas 3000 na 4000 na magauni mazuri ni 2000 na 3000....anapoint ananyosha anaingiza sokoni kwa bei ua elfu 6000 tu hadi 7000 atapata pesa akiifanya kaka machinga aachane na frame.....

**** biashara ya kutengeneza bahasha za kaki hii inalipa kama eneo lako halijapata huduma hii...hapo ela ni kaki zenyewe na gundi ya maji....

**** biashara ya kuku wa kienyeji kuifanya kwa kutoa vijijini na kuweka mjini, na kuwakuza alafu kipindi cha sikukuu unawauza....ila hii ni changamoto sana hasa sehem ya kufugia....

Kununua nguo za ndani za kina dada na kuzizungusha majimbani na saloon etc dozen zake zinapatikana kariakoo kwa quality mbalimbali.....

Kuchoma mishikaki na kuuza stand za mabasi ukizingatia usafi na njia bora ya uchomaji utapata hata 25000 kwa siku....

Kuna biashara ya kukaanga mihogo na kuku wa kisasa na kumkata vipande vya 500 tu viwe vingi kukuletea 12000 maana kuku wa nyama ni 6000 hadi 6500....mihogo sijajua ulipo kata midogo kiasi uza 200 kaanga vizuri, unaweza jifunza kukaanga viazi vya mayai (vnavyotumia ngano) vnauza pia.....watu mtaani wavivu kupika hizo ndio menu zao

Unaweza kuwa unafanya biashara ya kusambaza bidhaa madukani kama mikate, mayai, dagaa etc....hautatoka mtupu mkuu....

hiyo biashara ya nguo nilikuwa naingiza elfu 50000 kwa mtaji wa 250000 ila hapo 22 ni mtaji 28 ndio ya kula na mambo mengine nikaacha sababu ya ajira ila ni profitable business hasa kwa nguo za wadada
Mkuu uliacha biashara inayolipa ukaenda kuwa mtumwa?
 
mkuu zile kwa ninae mjua anauza jumla kubwa kiasi ni 300 na ndogo ni 200 jumla.....sijajua kwa maeneo mengine maana kila mtu anabei yake ila cha kukumbuka ni kuwa bahasha kubwa inauzwa 400 dukani wewe inabidi uuze bei ya chini yake ndio maana anauza 300.....na ofcourse huwa maduka ya mjini wanamuungisha hadi bahasha 40 kwa siku.hizo kubwa huwa anamake 12000 ukitoa hela ya kununulia karatasi na gundi hakosi elfu 8 hadi elfu 9.

Ila kama kwenu bahasha kubwa zile zinauzwa 500 hadi 600 wewe uza zako 400 kwa jumla reja 300.
Ukisema bahasha kubwa unamaanisha size ipi kubwa kuliko A4 =A4, mifuko mbadala shingapi

Ndugu yang anauza lakini si ya kaki some local ukilinganisha kwa makaratasi hadi makighafi na hiyo Size ya A4 anauza mifuko 30 kwa 1000 hizi bei ulizoandika wewe naona zinameremeta.
 
1.Kijiwe cha kahawa.
Wazo langu laweza kuonekana la kipumbavu ila fungua kijiwe cha kahawa na kashata mkuu. Tafta eneo la stand au sokoni. Utajipatia chochote kitu daily. Kashata inatoa faida nusu kwa nusu. Unaweza kuwa mbunifu ukatengeneza kashata ambayo badala ya kuiuza sh.100 we utaiuza sh.500 itie hata flavour ya maziwa tu.

Vikombe vikubwa vya kahawa hata ukiuza kimoja jero sio mbaya. Mwanzo utakuwa mgumu ila wakikuzoea utakuwa umejenga base ya wateja wako maalumu. You will make money indeed. Pia weka na uji kama itafaa.

2.Kijiko cha nyamachoma.
Hii utanunua nyama za mafungu vingunguti pale. Utaanza kuzibanika mida ya jioni location iwe stand au kwenye barabara za makutano karibu na kituo cha daladala. Kata bei ya buku buku kwa kipande then unavibanika na kuwawekea na pilipili na ndimu pembeni au vinegar. Utatumia foil ku serve hio nyama ili usipate gharama ya kuosha osha sahani. Hakikisha usafi wako binafsi na mazingira ya meza unayofanyia kazi ambayo pembeni ndio itakuwa na jiko.

3.Kijiwe cha pweza.
Hii pia ni biashara nzuri ukiwa location nzuri. Utakula vichwa kama uko maeneo ya kituo cha daladala pembeni. Huwa lazma nitafunege wale wadudu mara nyingi na huwa sio ghali sana. Hii inaashiria hata mtaji wake hautakuwa mkubwa pia.

Mkuu jaribu hizo..Mtaji wake hautafika hata nusu ya hio hela ili ubakiwe na chenchi ya kusapoti biashara kadri inavyoanza kukua taratibu maana biashara inataka uvumilivu sana.
Mawazo mazuri mkuu. Humu jf ukitulia lazima ufanikiwe.
 
Mkuu uliacha biashara inayolipa ukaenda kuwa mtumwa?
Mkuu nilikosa eneo maana nilikuwa naifanya kimachinga naotea mtu asipokuja ndio nacover sehemu yake, leo nipo huku kesho kule nikaona nirudi kuwa mtumwa....

Ika nitaifanya najipanga sana mshahara asilimia 80 wote nauweka akiba mwezi wa 12 nianzishe biashara 2 mkuu ndogo ndogo
 
Ukisema bahasha kubwa unamaanisha size ipi kubwa kuliko A4 =A4, mifuko mbadala shingapi

Ndugu yang anauza lakini si ya kaki some local ukilinganisha kwa makaratasi hadi makighafi na hiyo Size ya A4 anauza mifuko 30 kwa 1000 hizi bei ulizoandika wewe naona zinameremeta.
atengeneze kwa kaki mkuu, na auze jumla kwa bei hiyo haswa maduka ya mjini ya nyama, nguo, maduka ya mahitaji ya nyumbani etc atapata hiyo faida maana namimi nimenunua mara kadhaa kwa jamaa nikiwa mjini kwa bei ya 300 moja.
 
Ukisema bahasha kubwa unamaanisha size ipi kubwa kuliko A4 =A4, mifuko mbadala shingapi

Ndugu yang anauza lakini si ya kaki some local ukilinganisha kwa makaratasi hadi makighafi na hiyo Size ya A4 anauza mifuko 30 kwa 1000 hizi bei ulizoandika wewe naona zinameremeta.
Ndiyo mkuu ni size ya A4 mkuu maana ndio size bora ya vifungashio
 
Asante mkuu umenifungua sana ubarikiwe, narudi Chuo kumaliza degree yangu hii but nikirudi nataka nijichanganye mtaani but saving zangu zinafika laki 9 na nikiuza gheto zima (nimepanga) Total nitafikisha 1.5M na hii laptop nikiamua kuiuza nitakua nmeongezea kwenye mtaji Hope nikianza hiyo biashara itanilipa sivyo mkuu.
kwanini usianza ukiwa chuoni?
 
Back
Top Bottom