Kwa mtazamo wa mwanaume - ni kero zipi ziwezazo kuharibu uhusiano

Kwa mtazamo wa mwanaume - ni kero zipi ziwezazo kuharibu uhusiano

Mkuu mmoja kadokeza:Minywele bandia hata awe mzuri vipi hata sishtuki..
-Kutukana mijitusi hovyo hovyo kweupe...
-Wanawake wavutaji sigara/banghi...
 
Tabia je?

Wewe ndio umeuliza swali la msingi. Maana wengi wamekimbilia kwenye mambo madogo madogo yanayoweza kurekebishika! Tabia ina sehemu kubwa sana kwenye mahusiano.

Jamani mimi sipendi kununiwa...Yaani bora ninyimwe unyumba kuliko kununiwa, tena kule kuniniwa bila sababu ya msingi. Halafu mtu anaweza kununa hata wiki nzima!
 
Wewe ndio umeuliza swali la msingi. Maana wengi wamekimbilia kwenye mambo madogo madogo yanayoweza kurekebishika! Tabia ina sehemu kubwa sana kwenye mahusiano.

Jamani mimi sipendi kununiwa...Yaani bora ninyimwe unyumba kuliko kununiwa, tena kule kuniniwa bila sababu ya msingi. Halafu mtu anaweza kununa hata wiki nzima!

hahaaaaa lol
Masaki you have made my evening buddy!!!!
 
Tehetehetehe! Nasikia njaa, nakwenda kunywa supu ya samaki RG...Nothing else!!

aaaaaaaaaah hukuniambia mapema nipo very close, sema nshashiba, later!!



nipo jirani leo but nim
 
Watu wananuna miezi bila hata sababu ya msingi, tabia hii inakera sana, pia sipendi mwanaume anaekoroma, unaweza kununua box la ear plug ili zitumike akilalat
 
Wanawake walevi wanakera mno, niliwahi kutoka out na dada mmoja kinywaji chake ilikuwa "safari lager" baada ya kilevi kumkolea urembo wote ulipotea (kwa mtazamo wangu).
Kwa kweli wanawake walevi ni kero!
 
Ahadi yeyote tu. Ila mara nyingi huwa wanakuwa watata zaidi kwenye ahadi za kumegana.

DW vipi bana, NN anaulizia kuhusu usafi. Naona wewe umeenda nje ya mada. JIbu kuhusu husafi.

Nikiludi kwenye mada, mi kwa kweli mwanaume awe msafi. Huwa naangalia kwanza viatu, mkanda na akibahatika kupata tunda cha kwanza kuangalia ni nguo ya ndani. Mwanaume akishajua kupangilia kiatu, kiwe kisafi na mkanda jua huyo lazima atakuwa msafi. Sasa katika suala la harufu, nachukia sana mwanaume akinuka mdomo, kikwapa, viatu yesu wangu!! Huyo kwangu hapati nafasi. Mimi mwenyewe huwa najitahidi sana kuwa msafi. Napenda sana usafi
 
hehehe nyie watu mnafurahisha vibaya!

mwageni ma point tujifunze
 
DW vipi bana, NN anaulizia kuhusu usafi. Naona wewe umeenda nje ya mada. JIbu kuhusu husafi.

Nikiludi kwenye mada, mi kwa kweli mwanaume awe msafi. Huwa naangalia kwanza viatu, mkanda na akibahatika kupata tunda cha kwanza kuangalia ni nguo ya ndani. Mwanaume akishajua kupangilia kiatu, kiwe kisafi na mkanda jua huyo lazima atakuwa msafi. Sasa katika suala la harufu, nachukia sana mwanaume akinuka mdomo, kikwapa, viatu yesu wangu!! Huyo kwangu hapati nafasi. Mimi mwenyewe huwa najitahidi sana kuwa msafi. Napenda sana usafi

Duuh! Umenigusa. Mimi mwenyewe ni msafi kupitiliza.

Napenda mwanamke mwenye meno masafi na meupe yaliyopangika vizuri. Mimeno iliyopandiliana siipendi. Mimeno yenye rangi za ajabu ajabu siipendi. Napenda mwanamke mwenye mazoea ya kwenda kwa mganga wa meno kusafishwa meno mara mbili kwa mwaka kama nifanyavyo mimi. Napenda mwanamke anaye floss kila siku si chini ya mara mbili. Unajua masalia ya chakula ndio moja ya sababu zinazofanya mdomo unuke. Napenda mwanamke anayetumia si chini ya dakika kumi kusafisha mdomo wake (iwe asubuhi, mchana, au jioni). Mimi situmii chini ya dakika kumi. Halafu sio mtu unasugua meno tu. Unatakiwa kukwangua ulimi wako kuanzia chini kabisa. Halafu unatakiwa kukwangua palate (roof of the mouth) na mashavu kwa upande wa ndani bila kusahau fizi zote, juu na chini. Halafu unasukutua na mouth wash mara mbili halafu unamalizia kusukutua na maji.

Mademu (hata wanaume pia) wengi wa bongo wana gingivitis. Na hapa Tanzania hatuna mazoea ya kutunza meno vizuri. Unakuta mtu mimeno imepandiliana bila mpangilio wakati hilo tatizo lingeweza kutatuliwa na braces na retainers. Bongo hakuna dental insurance za maana.

Halafu sipendi mademu wenye midomo (lips) mikavu. Tumia lip gloss au chapstick au moisturizing lip balm yoyote ipatikanayo hapo ulipo. Midomo milaini iliyo moist inavutia sana.

Chupi pia ni big deal kwangu. Kwa maumbile ya mwanamke, ni vizuri kila mwezi ukawa unabadilisha chupi na kununua mpya. Sipendi mwanamke ambaye chupi yake ina rangi ya ajabu pale tunda lilipo. Hizi rangi rangi husababishwa na discharge kama sikosei.

Mwisho napenda wanawake wanaonukia vizuri.
 
lol, hii inachekesha ila ndio mafunzo.

Mimi mdomo, kwapa na chini kukiwa hakujatulia inabidi nitumie ile rule " can't hit ya twice!"
Masuala ya tabia yanakuja baadae ila kwa haraka hiyo hygiene mi ndio muhimu and mambo yasiwe kwa kubembeleza saaaana.
 
lol, hii inachekesha ila ndio mafunzo.

Mimi mdomo, kwapa na chini kukiwa hakujatulia inabidi nitumie ile rule " can't hit ya twice!"
Masuala ya tabia yanakuja baadae ila kwa haraka hiyo hygiene mi ndio muhimu and mambo yasiwe kwa kubembeleza saaaana.

Mazee YE, what it do bossman? Long time no see...

High standards of personal hygiene in a woman are high up on my list of standards. That and strength of character are neck and neck and I don't compromise nor lower my standards when it comes to those two.
 
Mazee YE, what it do bossman? Long time no see...

High standards of personal hygiene in a woman are high up on my list of standards. That and strength of character are neck and neck and I don't compromise nor lower my standards when it comes to those two.


Halafu mwanamke mweye high hygiene standars ni rahisi sana kumtambua, hata kama umekutana naye kwenye daladala! Angalia usafi wa kucha zake, nywele zake na usafi wa ngozi yake. Pia kama amevaa sandals au viatu vya wazi, ukibahatika kuangalia unyayo wake ukaona ni msafi na unang'aa ujue huyo mdada ni msafi.

Vitu vyote nilivyovitaja hapo juu vinahitaji sabuni na maji ya kuoga tu, kwa hiyo hakuna ''excuse'' ya kipato hapo.
 
Back
Top Bottom