technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Mimi binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba Tanzania tuna corona.
Nchi hii bwana watu wanaotutangazia kwamba tuchukue tahadhari ndio haohao unawakuta baa wanakunywa pombe na kukumbatia mpaka wahudumu.
Unawakuta anayetutangazia corona yeye ndiye wa kwanza kwenda msikitini au kanisani kubanana wakati wa kusali.
Leo unasema Dar kuna corona wakati pantoni ya kwenda Kigamboni inapakia watu mpaka elf 1000 kwa mkupuo na watu unakuta wameshonana kwenye jengo la abilia ni full kutoka jasho.
Unakuta mtu tena very smart eti yupo kwenye mwendokasi amevaa barakoa huku kasimama anasweti tu yaani kabanwa mpaka sehemu ya kupumulia hana halafu kapiga barakoa yake nayo inatoa tu jasho.
Mimi kanisani ninakosali tunabanana balaa muda wa kutoa sadaka tunagusana balaa na muda kuondoka tunabanana kwenye usafiri kwa kupeana lifiti.
Kiufupi wanaotangaza uwepo wa corona Mimi nawashangaa sana kwanini hawaji na taratibu za mapambano ya dhati?
Hivi unapambana na corona kwa style ya kariakoo ile? Na daladala za Mbagala?
Serikali waache siasa labda kama corona ya wanayoisema inawahusu wao viongozi sawa huku mtaani Mimi sioni corona tena baada ya Kifo cha Magufuli.
Nchi hii bwana watu wanaotutangazia kwamba tuchukue tahadhari ndio haohao unawakuta baa wanakunywa pombe na kukumbatia mpaka wahudumu.
Unawakuta anayetutangazia corona yeye ndiye wa kwanza kwenda msikitini au kanisani kubanana wakati wa kusali.
Leo unasema Dar kuna corona wakati pantoni ya kwenda Kigamboni inapakia watu mpaka elf 1000 kwa mkupuo na watu unakuta wameshonana kwenye jengo la abilia ni full kutoka jasho.
Unakuta mtu tena very smart eti yupo kwenye mwendokasi amevaa barakoa huku kasimama anasweti tu yaani kabanwa mpaka sehemu ya kupumulia hana halafu kapiga barakoa yake nayo inatoa tu jasho.
Mimi kanisani ninakosali tunabanana balaa muda wa kutoa sadaka tunagusana balaa na muda kuondoka tunabanana kwenye usafiri kwa kupeana lifiti.
Kiufupi wanaotangaza uwepo wa corona Mimi nawashangaa sana kwanini hawaji na taratibu za mapambano ya dhati?
Hivi unapambana na corona kwa style ya kariakoo ile? Na daladala za Mbagala?
Serikali waache siasa labda kama corona ya wanayoisema inawahusu wao viongozi sawa huku mtaani Mimi sioni corona tena baada ya Kifo cha Magufuli.