Kwa mtazamo wangu naona utekaji si drama

Kwa mtazamo wangu naona utekaji si drama

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Nimemskiliza Mama Samia Suluhu Hassan akisema utekaji wa siku akiwa madarakani ni drama

Zipo Drama Kweli ndani ya matukio ya kutekwa Ila si kila tukio ni la kupuuza,

Tuna matukio mengi sana ya utekaji nchini ila mheshimiwa Rais ameyazungumzia kana kwamba ni simple na kuya neutralize kwa Hoja za watu wanne waliojiteka kwa kutaka familia zao zilipe, Hiyo tunaikemea pia ,

Ila sasa angeangazia hata yale matukio makubwa

1. Inadaiwa Adnan katekwa na Polisi wa Oysterbay kwa order ya tycoon mmoja na baadae akauwawa na wakatumia mbinu hizo hizo kuanza kuomba Pesa kwa familia wakati wakijua ashafariki, na baada ya kufariki ikawa ndo polis wamejitokeza na kumpa kesi kwamba ni mtekaji anatafutwa,

2. Inadaiwa kuna vijana wengi hasa walioshiriki maandamano ya machinga kariakoo wamepotea na wengine wamepatikana wakiwa wameumizwa sana, nakumbuka Mwaka fulan Jamaa wa CCM aliwahi nipa mbinu walivyomteka msaidizi wa Membe na wakampandisha kwenye helicopter!

inadaiwa juzi kuna kijana amepatikana Katavi akiwa hoi kisa utekaji, Kuna Yule Dogo wa tanga wa CHADEMA naye katekwa na Polis baada ya nguvu ya Umma kuhoji alipo ndo baada ya siku 29 Polisi wanajitokeza kusema kuwa wako nao

Niliwahi sema kipindi cha Magufuli kwa kudadisi kwa uzi huu ili kuona uelewa wa watanzania juu ya matukio ya Utekaji , Naona Mheshimiwa Rais kapita nao Uzi huu kwenye hotuba yake 👇🏾

- Je, wanatekwa kweli au wanajiteka? Wana nia gani na hili? Labda ni drama. Tuone!

- Napinga Kauli ya Rais Samia kwamba Utekaji ni Drama, hii ni dharau kwa Wananchi

Tukomeshe utekaji nchini!

Britanicca
 
Nimemskiliza Mama Samia Suluhu Hassan akisema utekaji wa siku akiwa madarakani ni drama !

Zipo Drama Kweli ndani ya matukio ya kutekwa Ila si kila tukio ni la kupuuza,

Tuna matukio mengi sana ya utekaji nchini ila mheshimiwa Rais ameyazungumzia kana kwamba ni simple na kuya neutralize kwa Hoja za watu wanne waliojiteka kwa kutaka familia zao zilipe, Hiyo tunaikemea pia ,

Ila sasa angeangazia hata yale matukio makubwa

1. Adnan katekwa na Polisi wa Oysterbay kwa order ya tycoon mmoja na baadae akauwawa na wakatumia mbinu hizo hizo kuanza kuomba Pesa kwa familia wakati wakijua ashafariki, na baada ya kufariki ikawa ndo polis wamejitokeza na kumpa kesi kwamba ni mtekaji anatafutwa,

2. Kuna vijana wengi hasa walioshiriki maandamano ya machinga kariakoo wamepotea na wengine wamepatikana wakiwa wameumizwa sana, nakumbuka Mwaka fulan Jamaa wa CCM aliwahi nipa mbinu walivyomteka msaidizi wa Membe na wakampandisha kwenye helicopter!
Juzi kuna kijana amepatikana katavi akiwa hoi kisa utekaji, Kuna Yule Dogo wa tanga wa CHADEMA naye katekwa na Polis baada ya nguvu ya Umma kuhoji alipo ndo baada ya siku 29 Polisi wanajitokeza kusema kuwa wako nao


Niliwahi sema kipindi cha katto (Magufuli) kwa kudadisi kwa uzi huu ili kuona uelewa wa watanzania juu ya matukio ya Utekaji , Naona Mheshimiwa Rais kapita nao Uzi huu kwenye hotuba yake 👇🏾

Tukomeshe utekaji nchini!

Britanicca
Ndio maana Rais amekemea vikali na kuwataka Polisi wakomeshe hizo drama

View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1814674999816429932?t=zwCA8_27mAXn6vnhfXx-jQ&s=19
 
Nimemskiliza Mama Samia Suluhu Hassan akisema utekaji wa siku akiwa madarakani ni drama !

Zipo Drama Kweli ndani ya matukio ya kutekwa Ila si kila tukio ni la kupuuza,

Tuna matukio mengi sana ya utekaji nchini ila mheshimiwa Rais ameyazungumzia kana kwamba ni simple na kuya neutralize kwa Hoja za watu wanne waliojiteka kwa kutaka familia zao zilipe, Hiyo tunaikemea pia ,

Ila sasa angeangazia hata yale matukio makubwa

1. Adnan katekwa na Polisi wa Oysterbay kwa order ya tycoon mmoja na baadae akauwawa na wakatumia mbinu hizo hizo kuanza kuomba Pesa kwa familia wakati wakijua ashafariki, na baada ya kufariki ikawa ndo polis wamejitokeza na kumpa kesi kwamba ni mtekaji anatafutwa,

2. Kuna vijana wengi hasa walioshiriki maandamano ya machinga kariakoo wamepotea na wengine wamepatikana wakiwa wameumizwa sana, nakumbuka Mwaka fulan Jamaa wa CCM aliwahi nipa mbinu walivyomteka msaidizi wa Membe na wakampandisha kwenye helicopter!
Juzi kuna kijana amepatikana katavi akiwa hoi kisa utekaji, Kuna Yule Dogo wa tanga wa CHADEMA naye katekwa na Polis baada ya nguvu ya Umma kuhoji alipo ndo baada ya siku 29 Polisi wanajitokeza kusema kuwa wako nao


Niliwahi sema kipindi cha katto (Magufuli) kwa kudadisi kwa uzi huu ili kuona uelewa wa watanzania juu ya matukio ya Utekaji , Naona Mheshimiwa Rais kapita nao Uzi huu kwenye hotuba yake 👇🏾

Tukomeshe utekaji nchini!

Britanicca
That's why I hate CCM regime
 
KAMA UMEPIGA PUNYETO KWA MDA MREFU NA UNAPITIA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME

Tafuta
1.Asali mbichi ya nyuki wadogo lita moja,
2.Tangawizi kubwa nne au sita [osha, menya kisha katakata vipande],

3.Vitunguu saumu ujazo wa glass moja [menya vizuri kuondoa maganda yake],

3.Unga wa msamitu vijiko nane,
4.Unga wa mdalasini vijiko sita mpaka nane,
5.Unga wa habat sawda [black seed] vijiko vinne mpaka sita.

Chukua Tangawizi na Vitunguu saumu uweke kwenye blenda kisha usage mpaka vyote viwe laini.

Weka Unga wa Msamitu, Mdalasini na Unga wa Habat soda kwenye blenda kisha taratibu huku ukiwa umewasha blenda mimina taratibu Asali mbichi ya nyuki wadogo mpaka lita nzima iishe kwa muda wa kama dakika mbili juisi yako itakuwa tayari.

Zima blenda na uweke juisi yako kwenye kifungashio safi ikae kwa masaa ....baada ya hapo itakuwa tayari kwa matumizi

MATUMIZI YAKE
kujua matumizi yake
bonyeza hapa
👇

Au
Wasiliana nasi kwa Kupiga Simu

🤳 0658283250

AFYA Mkononi
Tunajali Afya Yako

IMG-20240716-WA0084(1).jpg
 
Nimemskiliza Mama Samia Suluhu Hassan akisema utekaji wa siku akiwa madarakani ni drama !

Zipo Drama Kweli ndani ya matukio ya kutekwa Ila si kila tukio ni la kupuuza,

Tuna matukio mengi sana ya utekaji nchini ila mheshimiwa Rais ameyazungumzia kana kwamba ni simple na kuya neutralize kwa Hoja za watu wanne waliojiteka kwa kutaka familia zao zilipe, Hiyo tunaikemea pia ,

Ila sasa angeangazia hata yale matukio makubwa

1. Adnan katekwa na Polisi wa Oysterbay kwa order ya tycoon mmoja na baadae akauwawa na wakatumia mbinu hizo hizo kuanza kuomba Pesa kwa familia wakati wakijua ashafariki, na baada ya kufariki ikawa ndo polis wamejitokeza na kumpa kesi kwamba ni mtekaji anatafutwa,

2. Kuna vijana wengi hasa walioshiriki maandamano ya machinga kariakoo wamepotea na wengine wamepatikana wakiwa wameumizwa sana, nakumbuka Mwaka fulan Jamaa wa CCM aliwahi nipa mbinu walivyomteka msaidizi wa Membe na wakampandisha kwenye helicopter!
Juzi kuna kijana amepatikana katavi akiwa hoi kisa utekaji, Kuna Yule Dogo wa tanga wa CHADEMA naye katekwa na Polis baada ya nguvu ya Umma kuhoji alipo ndo baada ya siku 29 Polisi wanajitokeza kusema kuwa wako nao


Niliwahi sema kipindi cha katto (Magufuli) kwa kudadisi kwa uzi huu ili kuona uelewa wa watanzania juu ya matukio ya Utekaji , Naona Mheshimiwa Rais kakipita nao Uzi huu kwenye hotuba yake 👇🏾

Tukomeshe utekaji nchini!

Britanicca
Tukomeshe na usagaji pia
 
Back
Top Bottom