TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Kwa mtindo huu wa kiongozi yupo ukumbini anahutubia ila huko barabarani maisha hayaendelei ni nadra Tanzania kufika uchumi wa kati, ile mnayoitangaza kila wakati huwa ni chengatu.
Yaani hata nyie viongozi mnapokuwa kwenye shughuli zenu za kikazi mjue mnatesa na kuwapotezea raia muda.
Naelekea kanda ya ziwa nimefika Nzega nakutana na msululu wa maroli kama 50 yamesimama, sikuuliza kwa nini wamesimama hapo.
Nilipofika Tinde nakutana tena na msululu wa maroli machache na mabasi yamesimama, ndipo nimeuliza sababu ya kusimama naambiwa 'eti makamu wa Rais sijui yupo wapi huko anasubiliwa kupita.
Hii siyo sawa hata kidogo, mpaka leo mwaka 2022 kiongozi unaruhusu wananchi kusimama wasiendelee na shughuli zao kisa unapita, bullshit!.
Yaani hata nyie viongozi mnapokuwa kwenye shughuli zenu za kikazi mjue mnatesa na kuwapotezea raia muda.
Naelekea kanda ya ziwa nimefika Nzega nakutana na msululu wa maroli kama 50 yamesimama, sikuuliza kwa nini wamesimama hapo.
Nilipofika Tinde nakutana tena na msululu wa maroli machache na mabasi yamesimama, ndipo nimeuliza sababu ya kusimama naambiwa 'eti makamu wa Rais sijui yupo wapi huko anasubiliwa kupita.
Hii siyo sawa hata kidogo, mpaka leo mwaka 2022 kiongozi unaruhusu wananchi kusimama wasiendelee na shughuli zao kisa unapita, bullshit!.