amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Habari wana JF, ni ukweli usiopingika kwamba elimu ya Tanzania inazidi kushuka thamani hii inatokana na sitofahamu ya kuchanganya elimu na siasa. wanasiasa wamekua wakifanya maamuzi ya kisiasa kwa sababu ya kujitengenezea umaarufu. Mfano kwa mwaka huu graduate wa form six mwenye four anauwezo wa kuappy chuo kikuu kusomea degree. tusipoangalia tutakua na taifa la mambumbumbu.