Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2690
Ndio kawaida hapo Magogoni Ferry halafu wanashangaa wanapokimbiwa na samaki. Tuna safari ndefu !!
View attachment 2690
Ndio kawaida hapo Magogoni Ferry halafu wanashangaa wanapokimbiwa na samaki. Tuna safari ndefu !!
Ndugu zangu kukujoa kwa kuchafua mazingira ni just one thing..Huyu anakojoa mahali chakula(samaki)kinapatikana..Ni dharau na ujinga na sijui nini...Unaweza kuona ni issue ndogo lakini trust me si issue ndogo kabisa hapa....Huyo mtu ama watu hao wameshindwa kuwa oraginzed kudai haki zao ama ni ujinga?
Kwasababu kuwa civilized ni tofauti...Kodi watu wanalipa kwanini wachajiwe kutumia vyoo mahali kama ferry panapoingiza mapato tosha kabisa kuprovide service hiyo bure?