Darucha
Senior Member
- Dec 28, 2020
- 111
- 211
Timu hizi zinamfaha Sana jamaa akienda kwenye hizi timu anaenda kuwa straiker mmoja hatari Sana duniani na anaenda kuvunja baadhi ya record za ufungaji wa mabao duniani
1- Chelsea
2- PSG
3- Bayern munichen
4- Man utd
5- Real madrid
- Sijawaweka Liverpool, Man city, Barcelona kwa sababu hizi timu hazitaki striker Aina ya haaland na hata Kama ikitokea jamaa kasajiliwa kwenye hizi timu anaenda kufeli balaa unajua ni kwa nini pep gudiola anamuuanzisha Jesus mbele ya aguero ukiachana na maswala ya umri au Saa nyengine Yuko radhi Benando Silva aanze pale mbele kama false no 9.
Au unajua kwa Nini pep gudiola pale Barcelona alishindwa kuendana na mastraiker hatari ambao dunia iliwatambua kuwa ni Bora kama etoo na Zlatan Ibrahimovic na akaamua awachukue David Villa na Henry Basi sababu kubwa ni hii gudiola anapenda mtu anaecheza pale juu no 9 awe anauwezo pia wa kuchezesha wengine leo hii ukimuambia gudiola firmino na halaand mchukue mmoja nahakika anamchukua roberto firmino yote ni kwa sababu firmino ni mzuri pia kwenye kuchezesha wengine.
Yeye haoni shida kumweka bench straiker ambaye nyie mnaona anafunga Sana na akaamua amuweke yule ambaye anajua kuchezesha timu yote ndo maana nasema halaand hana nafasi pale na msije mkashangaa hata Kama halaand akasajiliwa pale man city akaja kuwekwa bench na bernando Silva au Jesus pale mbele.
- Nakuja upande wa Barcelona halaand akienda camp nou anaenda kuonekana ni mchezaji wa kawaida tu kwa sababu Barcelona na wenyewe hawana utofauti Sana na man city wanataka no Tisa ambaye anaweza kucheza na kuelewana na Messi Kama ulivyokuwa kwa Suarez yaani mtu ambaye anaweza kumchezesha Messi pia. Sio yule ambaye anaweza kufunga magoli mengii pekee halaand ni mzuri kwenye kufunga ndio lakini sio mzuri Sana kwenye kuchezesha wenzake.
- Liverpool pia na wenyewe sio waumini wa kumtegemea Sana no Tisa afunge magoli ndo washinde ndo maana baadhi ya wachezaji kama Danny ings na baadhi ya mastraiker wamekimbia pale hasa Chini ya klopp ambaye anategemea Sana mawinga,mafullbacks,na namba Tisa ambaye ni mbunifu yaani namaanisha namba Tisa ambaye anaweza kuchezesha wenzake.
- PSG, Chelsea, Man utd, Madrid, Bayern ndo chaguo sahihi kwa halaand akitua kwenye hizi timu naona anaenda kuvunja record nyingi sana,
1- Chelsea
2- PSG
3- Bayern munichen
4- Man utd
5- Real madrid
- Sijawaweka Liverpool, Man city, Barcelona kwa sababu hizi timu hazitaki striker Aina ya haaland na hata Kama ikitokea jamaa kasajiliwa kwenye hizi timu anaenda kufeli balaa unajua ni kwa nini pep gudiola anamuuanzisha Jesus mbele ya aguero ukiachana na maswala ya umri au Saa nyengine Yuko radhi Benando Silva aanze pale mbele kama false no 9.
Au unajua kwa Nini pep gudiola pale Barcelona alishindwa kuendana na mastraiker hatari ambao dunia iliwatambua kuwa ni Bora kama etoo na Zlatan Ibrahimovic na akaamua awachukue David Villa na Henry Basi sababu kubwa ni hii gudiola anapenda mtu anaecheza pale juu no 9 awe anauwezo pia wa kuchezesha wengine leo hii ukimuambia gudiola firmino na halaand mchukue mmoja nahakika anamchukua roberto firmino yote ni kwa sababu firmino ni mzuri pia kwenye kuchezesha wengine.
Yeye haoni shida kumweka bench straiker ambaye nyie mnaona anafunga Sana na akaamua amuweke yule ambaye anajua kuchezesha timu yote ndo maana nasema halaand hana nafasi pale na msije mkashangaa hata Kama halaand akasajiliwa pale man city akaja kuwekwa bench na bernando Silva au Jesus pale mbele.
- Nakuja upande wa Barcelona halaand akienda camp nou anaenda kuonekana ni mchezaji wa kawaida tu kwa sababu Barcelona na wenyewe hawana utofauti Sana na man city wanataka no Tisa ambaye anaweza kucheza na kuelewana na Messi Kama ulivyokuwa kwa Suarez yaani mtu ambaye anaweza kumchezesha Messi pia. Sio yule ambaye anaweza kufunga magoli mengii pekee halaand ni mzuri kwenye kufunga ndio lakini sio mzuri Sana kwenye kuchezesha wenzake.
- Liverpool pia na wenyewe sio waumini wa kumtegemea Sana no Tisa afunge magoli ndo washinde ndo maana baadhi ya wachezaji kama Danny ings na baadhi ya mastraiker wamekimbia pale hasa Chini ya klopp ambaye anategemea Sana mawinga,mafullbacks,na namba Tisa ambaye ni mbunifu yaani namaanisha namba Tisa ambaye anaweza kuchezesha wenzake.
- PSG, Chelsea, Man utd, Madrid, Bayern ndo chaguo sahihi kwa halaand akitua kwenye hizi timu naona anaenda kuvunja record nyingi sana,