Kakate rufaa kama hujaridhikaSimba ina janja janja ya kuhonga marefa. Leo VAR haijatumika kabisaa. Ilikuwa mbovu sijui haikuja
Jana VAR ilikataa goli la Mamelodi na marudio yakawa yanaoneshwa. Na refa alitoka uwanjani na kwenda kutazama video huku anaoneshwa na camera akilitazama goli.
Ila leo refa anaongea na mic yake tu eti ndio VAR
Bingwa wa ligi na mshindi wa pili watacheza club bingwa ,alafu mshindi wa tatu na nne shirikisho .Hivi mgawanyo wa hizo nafasi kwa TFF umekaaje??Bingwa wa Ligi na Nani mwingine watashiriki kwa pamoja klabu Bingwa Afrika na Nani na Nani wataenda Shirikishoo??
Hakuna kiwanja chochote Duniani ambacho VAR ipo uwanjani, ile unayoiona ni tv inaonesha review tu.Nauliza Ile VAR ya mechi ilikua ya CAF au CUF maana hatukuona tukio likilejewa ila yalikua mazungumzo baina ya refa sijui na mshika kibendera au kami saa.
Au ndio VAR za Afrika zinavyo fanya kazi.
Kweli Afrika michongo haitakwisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ICBM ya Kim hii.Kwamba kwa kuwa Choo kipo, hata kama huna haja unaenda kujisaidia
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] alitaka akainuse ili ajue ina harufu gani.Hakuna kiwanja chochote Duniani ambacho VAR ipo uwanjani, ile unayoiona ni tv inaonesha review tu.
Ila analysis na var yenye inafanyika Uingereza tu kwa dunia nzima... Yaani pale london
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni Juha ( Zuzu ) usitupotezee muda.Nauliza Ile VAR ya mechi ilikua ya CAF au CUF maana hatukuona tukio likilejewa ila yalikua mazungumzo baina ya refa sijui na mshika kibendera au kami saa.
Au ndio VAR za Afrika zinavyo fanya kazi.
Kweli Afrika michongo haitakwisha.
CEO wa Yanga SC Senzo Mbatha Mazingisa.Nani alwazuia Olrando wasifunge?
Hivi kumbe kuwa Mchambuzi wa Mpira ni mpaka uwe Kocha? Siku zingine mkishajijua ni Wapumbavu msiwe mnakuja Kutudhihirishia hapa Jamiiforums sawa?Kinachoniuma kwenye mpira wa Bongo, kila shabiki anaamini yeye ni bonge la kocha.
Si tumekubaliana kila mtu anashinda kwake?1. Timu ifike Johannesburg Siku Moja kabla ya Mechi na isiwahi Kufika tafadhali
2. Mfumo pekee wa Kuutumia tukienda huko uwe ni wa ama 3-5-2 au wa 4-5-1 nikimaanisha 95% Defensive tu
3. Timu icheze kwa Kugawa dakika ambapo dakika 15 za Kwanza tunazuia, dakika 15 za pili tunashambulia na dakika 15 za mwisho tunazuia na Kipindi cha Pili tunabadili ambapo dakika 15 za Kwanza tunashambulia, dakika 15 za pili tunazuia na dakika 15 za mwisho tunashambulia
4. Nitapenda zaidi Onyango arejee Kucheza na Inonga ila Kocha afanye kila awezalo kwakuwa tunataka mno Kulilinda Goli letu awachexeshe Viungo wote Watatu wenye DNA halisi za Ukabaji na Kusukuma Mashambulizi akina Mkude, Lwanga na Kanoute
5. Beki Henock Inonga ashauriwe kwa Nia njema tu apunguze Over Confidence and Over Doing yake hasa kwa Mchezo huu wa Marudiano kwani anaweza Kutugharimu na najua tayari Makocha na Team Performance Analysts wa Orlando Pirates FC wameshamsoma ipasavyo hii leo
6. Ikiwapendeza Uongozi wa Simba SC kuanzia Kesho hadi Siku ya Mechi ya Marudiano na Orlando Pirates FC huko Kwao Johannesburg Afrika Kusini Wachezaji wa Simba SC Wajengwe vyema Kisaikolojia kwani Ushangiliaji wa Waafrika Kusini ni wa hali ya Juu na Uwanja utajazwa Full Capacity kuliko hata walivyozoea hapa Kwetu ( Kwao ) Tanzania
7. Nidhamu ya Mchezo iwe juu kwa Wachezaji wa Simba SC ili Wasiadhibiwe na Kuigharimu Timu. Na pia ikiwezeksna pamoja na Klabu ya Simba kuwa na Mratibu Wao Abbas ila ikiwezeksna Uongozi wa Simba SC uwape Majukumu ya Kuipokea, Kuiongoza na Kuilinda Timu Watanzania wana Simba SC waishio Johannesburg ( ambao ni Wengi tu ) ili tuepuke na Mitego ambayo nina uhakika wa 99% hawa Orlando Pirates FC watatuwekea nje na ndani ya Uwanja ili Kutudhoofisha Kisaikolojia.
Tafadhali kwakuwa sasa tunataka kuipa Mikakati ( Strategy ) Simba SC ili ikapate Mafanikio na Matokeo katika Mechi yao hii ya Marudiano basi ningependa nanyi pia mtoe Mitazamo yenu na Mawazo ya Kiufundi ili tuisaidie Simba SC nikiamini hapa JamiiForums pia wapo Viongozi Waandamizi wa Simba SC hivyo Miichango yetu itakuwa Msaada mkubwa Kwao
Umempa za uso.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hivi kumbe kuwa Mchambuzi wa Mpira ni mpaka uwe Kocha? Siku zingine mkishajijua ni Wapumbavu msiwe mnakuja Kutudhihirishia hapa Jamiiforums sawa?
mkuu umekiona ulichokiandikaHakuna kiwanja chochote Duniani ambacho VAR ipo uwanjani, ile unayoiona ni tv inaonesha review tu.
Ila analysis na var yenye inafanyika Uingereza tu kwa dunia nzima... Yaani pale london
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakumbuka simba ilipokwenda kurudiana na berkane? Uyo kocha wenu mnaesema alikuwa anafundisha madrid unakumbuka mfumo aliotumia kule? Kiufupi amna kocha pale ni kanjanja fulani hivi mmeajiri, kocha gani hana mbinu za kucheza ugenini? Na kwa mkapa anasaidiwa tu mpira kuchezwa nje ya uwanja lakini kimbinu uyu kocha ni mweupe peee, alafu unasema simba inaweza toboa kule south kwa forward gani mliyonayo ya kwenda kusumbua kule? Na mkirogwa kulinda icho kigoli kimoja mtapelekewa moto ambao amtokaa msahau maishani mwenu, kosa mshalifanya ndo maana mechi Kama izi za mtoano unatakiwa upige goli nyingi kwako ili kupunguza mlima unaokwenda kukutana nao ugenini tena mbele ya timu bora kama orlando ambao jana awakuonyesha sura yao halisi wanapokuwa wanalitaka jambo lao sasa mkae kwa kutulia tuone uwezo wa kocha wenu mhispania1. Timu ifike Johannesburg Siku Moja kabla ya Mechi na isiwahi Kufika tafadhali
2. Mfumo pekee wa Kuutumia tukienda huko uwe ni wa ama 3-5-2 au wa 4-5-1 nikimaanisha 95% Defensive tu
3. Timu icheze kwa Kugawa dakika ambapo dakika 15 za Kwanza tunazuia, dakika 15 za pili tunashambulia na dakika 15 za mwisho tunazuia na Kipindi cha Pili tunabadili ambapo dakika 15 za Kwanza tunashambulia, dakika 15 za pili tunazuia na dakika 15 za mwisho tunashambulia
4. Nitapenda zaidi Onyango arejee Kucheza na Inonga ila Kocha afanye kila awezalo kwakuwa tunataka mno Kulilinda Goli letu awachexeshe Viungo wote Watatu wenye DNA halisi za Ukabaji na Kusukuma Mashambulizi akina Mkude, Lwanga na Kanoute
5. Beki Henock Inonga ashauriwe kwa Nia njema tu apunguze Over Confidence and Over Doing yake hasa kwa Mchezo huu wa Marudiano kwani anaweza Kutugharimu na najua tayari Makocha na Team Performance Analysts wa Orlando Pirates FC wameshamsoma ipasavyo hii leo
6. Ikiwapendeza Uongozi wa Simba SC kuanzia Kesho hadi Siku ya Mechi ya Marudiano na Orlando Pirates FC huko Kwao Johannesburg Afrika Kusini Wachezaji wa Simba SC Wajengwe vyema Kisaikolojia kwani Ushangiliaji wa Waafrika Kusini ni wa hali ya Juu na Uwanja utajazwa Full Capacity kuliko hata walivyozoea hapa Kwetu ( Kwao ) Tanzania
7. Nidhamu ya Mchezo iwe juu kwa Wachezaji wa Simba SC ili Wasiadhibiwe na Kuigharimu Timu. Na pia ikiwezeksna pamoja na Klabu ya Simba kuwa na Mratibu Wao Abbas ila ikiwezeksna Uongozi wa Simba SC uwape Majukumu ya Kuipokea, Kuiongoza na Kuilinda Timu Watanzania wana Simba SC waishio Johannesburg ( ambao ni Wengi tu ) ili tuepuke na Mitego ambayo nina uhakika wa 99% hawa Orlando Pirates FC watatuwekea nje na ndani ya Uwanja ili Kutudhoofisha Kisaikolojia.
Tafadhali kwakuwa sasa tunataka kuipa Mikakati ( Strategy ) Simba SC ili ikapate Mafanikio na Matokeo katika Mechi yao hii ya Marudiano basi ningependa nanyi pia mtoe Mitazamo yenu na Mawazo ya Kiufundi ili tuisaidie Simba SC nikiamini hapa JamiiForums pia wapo Viongozi Waandamizi wa Simba SC hivyo Miichango yetu itakuwa Msaada mkubwa Kwao
Kwahyo jana Orlando hawakutaka kushinda?Unakumbuka simba ilipokwenda kurudiana na berkane? Uyo kocha wenu mnaesema alikuwa anafundisha madrid unakumbuka mfumo aliotumia kule? Kiufupi amna kocha pale ni kanjanja fulani hivi mmeajiri, kocha gani hana mbinu za kucheza ugenini? Na kwa mkapa anasaidiwa tu mpira kuchezwa nje ya uwanja lakini kimbinu uyu kocha ni mweupe peee, alafu unasema simba inaweza toboa kule south kwa forward gani mliyonayo ya kwenda kusumbua kule? Na mkirogwa kulinda icho kigoli kimoja mtapelekewa moto ambao amtokaa msahau maishani mwenu, kosa mshalifanya ndo maana mechi Kama izi za mtoano unatakiwa upige goli nyingi kwako ili kupunguza mlima unaokwenda kukutana nao ugenini tena mbele ya timu bora kama orlando ambao jana awakuonyesha sura yao halisi wanapokuwa wanalitaka jambo lao sasa mkae kwa kutulia tuone uwezo wa kocha wenu mhispania
Game plan ya kucheza mechi za away unaijua wewe? Orlando aliingia kwa kuwaeshimu simba na kitu ambacho awakutaka kukiruusu ni kufungwa zaidi ya goli moja ama wapate sare, siku zote mechi za ugenini uwa ni ngumu kwenye hatua Kama hii, kwaiyo kinachofanyika ni kocha kuwa na mbinu na hesabu kali ili afuzu hatua inayofata kwaiyo orlando uliyoiona jana itakuwa tofauti na orlando utakayoiona kwenye mechi ya marudianoKwahyo jana Orlando hawakutaka kushinda?
Ikiwa mechi za ugenini ni ngumu,kwanini ulitaka simba ifunge magoli mengi?Game plan ya kucheza mechi za away unaijua wewe? Orlando aliingia kwa kuwaeshimu simba na kitu ambacho awakutaka kukiruusu ni kufungwa zaidi ya goli moja ama wapate sare, siku zote mechi za ugenini uwa ni ngumu kwenye hatua Kama hii, kwaiyo kinachofanyika ni kocha kuwa na mbinu na hesabu kali ili afuzu hatua inayofata kwaiyo orlando uliyoiona jana itakuwa tofauti na orlando utakayoiona kwenye mechi ya marudiano
Umeandika nini?Ikiwa mechi za ugenini ni ngumu,kwanini ulitaka simba ifunge magoli mengi?
Huwa siwakopeshagi Wapuuzi kama huyo na wengine watakaojitokeza mbeleni.Umempa za uso.[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]