Kwa Mtizamo wangu Simba SC katika Mechi ya marudiano na Orlando Pirates FC Johannesburg ikiingia na Mikakati hii inafuzu Kibabe Nusu Fainali CAFCC

Kwa Mtizamo wangu Simba SC katika Mechi ya marudiano na Orlando Pirates FC Johannesburg ikiingia na Mikakati hii inafuzu Kibabe Nusu Fainali CAFCC

Simba ina janja janja ya kuhonga marefa. Leo VAR haijatumika kabisaa. Ilikuwa mbovu sijui haikuja

Jana VAR ilikataa goli la Mamelodi na marudio yakawa yanaoneshwa. Na refa alitoka uwanjani na kwenda kutazama video huku anaoneshwa na camera akilitazama goli.

Ila leo refa anaongea na mic yake tu eti ndio VAR
Kakate rufaa kama hujaridhika
 
Hivi mgawanyo wa hizo nafasi kwa TFF umekaaje??Bingwa wa Ligi na Nani mwingine watashiriki kwa pamoja klabu Bingwa Afrika na Nani na Nani wataenda Shirikishoo??
Bingwa wa ligi na mshindi wa pili watacheza club bingwa ,alafu mshindi wa tatu na nne shirikisho .
Pia itategemea nan atabeba fa ,Kama Kuna timu nje ya Simba na yanga itabeba fa huyo anayo nafas ya kushiriki shirikisho
 
Nauliza Ile VAR ya mechi ilikua ya CAF au CUF maana hatukuona tukio likilejewa ila yalikua mazungumzo baina ya refa sijui na mshika kibendera au kami saa.
Au ndio VAR za Afrika zinavyo fanya kazi.
Kweli Afrika michongo haitakwisha.
Hakuna kiwanja chochote Duniani ambacho VAR ipo uwanjani, ile unayoiona ni tv inaonesha review tu.

Ila analysis na var yenye inafanyika Uingereza tu kwa dunia nzima... Yaani pale london

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kiwanja chochote Duniani ambacho VAR ipo uwanjani, ile unayoiona ni tv inaonesha review tu.

Ila analysis na var yenye inafanyika Uingereza tu kwa dunia nzima... Yaani pale london

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196] alitaka akainuse ili ajue ina harufu gani.
 
Nauliza Ile VAR ya mechi ilikua ya CAF au CUF maana hatukuona tukio likilejewa ila yalikua mazungumzo baina ya refa sijui na mshika kibendera au kami saa.
Au ndio VAR za Afrika zinavyo fanya kazi.
Kweli Afrika michongo haitakwisha.
Wewe ni Juha ( Zuzu ) usitupotezee muda.
 
Kinachoniuma kwenye mpira wa Bongo, kila shabiki anaamini yeye ni bonge la kocha.
Hivi kumbe kuwa Mchambuzi wa Mpira ni mpaka uwe Kocha? Siku zingine mkishajijua ni Wapumbavu msiwe mnakuja Kutudhihirishia hapa Jamiiforums sawa?
 
1. Timu ifike Johannesburg Siku Moja kabla ya Mechi na isiwahi Kufika tafadhali

2. Mfumo pekee wa Kuutumia tukienda huko uwe ni wa ama 3-5-2 au wa 4-5-1 nikimaanisha 95% Defensive tu

3. Timu icheze kwa Kugawa dakika ambapo dakika 15 za Kwanza tunazuia, dakika 15 za pili tunashambulia na dakika 15 za mwisho tunazuia na Kipindi cha Pili tunabadili ambapo dakika 15 za Kwanza tunashambulia, dakika 15 za pili tunazuia na dakika 15 za mwisho tunashambulia

4. Nitapenda zaidi Onyango arejee Kucheza na Inonga ila Kocha afanye kila awezalo kwakuwa tunataka mno Kulilinda Goli letu awachexeshe Viungo wote Watatu wenye DNA halisi za Ukabaji na Kusukuma Mashambulizi akina Mkude, Lwanga na Kanoute

5. Beki Henock Inonga ashauriwe kwa Nia njema tu apunguze Over Confidence and Over Doing yake hasa kwa Mchezo huu wa Marudiano kwani anaweza Kutugharimu na najua tayari Makocha na Team Performance Analysts wa Orlando Pirates FC wameshamsoma ipasavyo hii leo

6. Ikiwapendeza Uongozi wa Simba SC kuanzia Kesho hadi Siku ya Mechi ya Marudiano na Orlando Pirates FC huko Kwao Johannesburg Afrika Kusini Wachezaji wa Simba SC Wajengwe vyema Kisaikolojia kwani Ushangiliaji wa Waafrika Kusini ni wa hali ya Juu na Uwanja utajazwa Full Capacity kuliko hata walivyozoea hapa Kwetu ( Kwao ) Tanzania

7. Nidhamu ya Mchezo iwe juu kwa Wachezaji wa Simba SC ili Wasiadhibiwe na Kuigharimu Timu. Na pia ikiwezeksna pamoja na Klabu ya Simba kuwa na Mratibu Wao Abbas ila ikiwezeksna Uongozi wa Simba SC uwape Majukumu ya Kuipokea, Kuiongoza na Kuilinda Timu Watanzania wana Simba SC waishio Johannesburg ( ambao ni Wengi tu ) ili tuepuke na Mitego ambayo nina uhakika wa 99% hawa Orlando Pirates FC watatuwekea nje na ndani ya Uwanja ili Kutudhoofisha Kisaikolojia.

Tafadhali kwakuwa sasa tunataka kuipa Mikakati ( Strategy ) Simba SC ili ikapate Mafanikio na Matokeo katika Mechi yao hii ya Marudiano basi ningependa nanyi pia mtoe Mitazamo yenu na Mawazo ya Kiufundi ili tuisaidie Simba SC nikiamini hapa JamiiForums pia wapo Viongozi Waandamizi wa Simba SC hivyo Miichango yetu itakuwa Msaada mkubwa Kwao
Si tumekubaliana kila mtu anashinda kwake?

Piganeni Morrison acheze kwa kifupi jana Simba wachezaji wote akili zao zilikwama, isipokuwa Morrison. Jamaa anajua kutafuta magoli, ila hao wengine walikuwa wanakimbia kimbia.

Kule South mnakazi si ya kitoto,kama mna uwezo mnabidi mle pindi la kupaki basi kutoka kwa El Cholo alivyo wabana Man City wasimpige goli nyingi.
 
1. Timu ifike Johannesburg Siku Moja kabla ya Mechi na isiwahi Kufika tafadhali

2. Mfumo pekee wa Kuutumia tukienda huko uwe ni wa ama 3-5-2 au wa 4-5-1 nikimaanisha 95% Defensive tu

3. Timu icheze kwa Kugawa dakika ambapo dakika 15 za Kwanza tunazuia, dakika 15 za pili tunashambulia na dakika 15 za mwisho tunazuia na Kipindi cha Pili tunabadili ambapo dakika 15 za Kwanza tunashambulia, dakika 15 za pili tunazuia na dakika 15 za mwisho tunashambulia

4. Nitapenda zaidi Onyango arejee Kucheza na Inonga ila Kocha afanye kila awezalo kwakuwa tunataka mno Kulilinda Goli letu awachexeshe Viungo wote Watatu wenye DNA halisi za Ukabaji na Kusukuma Mashambulizi akina Mkude, Lwanga na Kanoute

5. Beki Henock Inonga ashauriwe kwa Nia njema tu apunguze Over Confidence and Over Doing yake hasa kwa Mchezo huu wa Marudiano kwani anaweza Kutugharimu na najua tayari Makocha na Team Performance Analysts wa Orlando Pirates FC wameshamsoma ipasavyo hii leo

6. Ikiwapendeza Uongozi wa Simba SC kuanzia Kesho hadi Siku ya Mechi ya Marudiano na Orlando Pirates FC huko Kwao Johannesburg Afrika Kusini Wachezaji wa Simba SC Wajengwe vyema Kisaikolojia kwani Ushangiliaji wa Waafrika Kusini ni wa hali ya Juu na Uwanja utajazwa Full Capacity kuliko hata walivyozoea hapa Kwetu ( Kwao ) Tanzania

7. Nidhamu ya Mchezo iwe juu kwa Wachezaji wa Simba SC ili Wasiadhibiwe na Kuigharimu Timu. Na pia ikiwezeksna pamoja na Klabu ya Simba kuwa na Mratibu Wao Abbas ila ikiwezeksna Uongozi wa Simba SC uwape Majukumu ya Kuipokea, Kuiongoza na Kuilinda Timu Watanzania wana Simba SC waishio Johannesburg ( ambao ni Wengi tu ) ili tuepuke na Mitego ambayo nina uhakika wa 99% hawa Orlando Pirates FC watatuwekea nje na ndani ya Uwanja ili Kutudhoofisha Kisaikolojia.

Tafadhali kwakuwa sasa tunataka kuipa Mikakati ( Strategy ) Simba SC ili ikapate Mafanikio na Matokeo katika Mechi yao hii ya Marudiano basi ningependa nanyi pia mtoe Mitazamo yenu na Mawazo ya Kiufundi ili tuisaidie Simba SC nikiamini hapa JamiiForums pia wapo Viongozi Waandamizi wa Simba SC hivyo Miichango yetu itakuwa Msaada mkubwa Kwao
Unakumbuka simba ilipokwenda kurudiana na berkane? Uyo kocha wenu mnaesema alikuwa anafundisha madrid unakumbuka mfumo aliotumia kule? Kiufupi amna kocha pale ni kanjanja fulani hivi mmeajiri, kocha gani hana mbinu za kucheza ugenini? Na kwa mkapa anasaidiwa tu mpira kuchezwa nje ya uwanja lakini kimbinu uyu kocha ni mweupe peee, alafu unasema simba inaweza toboa kule south kwa forward gani mliyonayo ya kwenda kusumbua kule? Na mkirogwa kulinda icho kigoli kimoja mtapelekewa moto ambao amtokaa msahau maishani mwenu, kosa mshalifanya ndo maana mechi Kama izi za mtoano unatakiwa upige goli nyingi kwako ili kupunguza mlima unaokwenda kukutana nao ugenini tena mbele ya timu bora kama orlando ambao jana awakuonyesha sura yao halisi wanapokuwa wanalitaka jambo lao sasa mkae kwa kutulia tuone uwezo wa kocha wenu mhispania
 
Unakumbuka simba ilipokwenda kurudiana na berkane? Uyo kocha wenu mnaesema alikuwa anafundisha madrid unakumbuka mfumo aliotumia kule? Kiufupi amna kocha pale ni kanjanja fulani hivi mmeajiri, kocha gani hana mbinu za kucheza ugenini? Na kwa mkapa anasaidiwa tu mpira kuchezwa nje ya uwanja lakini kimbinu uyu kocha ni mweupe peee, alafu unasema simba inaweza toboa kule south kwa forward gani mliyonayo ya kwenda kusumbua kule? Na mkirogwa kulinda icho kigoli kimoja mtapelekewa moto ambao amtokaa msahau maishani mwenu, kosa mshalifanya ndo maana mechi Kama izi za mtoano unatakiwa upige goli nyingi kwako ili kupunguza mlima unaokwenda kukutana nao ugenini tena mbele ya timu bora kama orlando ambao jana awakuonyesha sura yao halisi wanapokuwa wanalitaka jambo lao sasa mkae kwa kutulia tuone uwezo wa kocha wenu mhispania
Kwahyo jana Orlando hawakutaka kushinda?
 
Kwahyo jana Orlando hawakutaka kushinda?
Game plan ya kucheza mechi za away unaijua wewe? Orlando aliingia kwa kuwaeshimu simba na kitu ambacho awakutaka kukiruusu ni kufungwa zaidi ya goli moja ama wapate sare, siku zote mechi za ugenini uwa ni ngumu kwenye hatua Kama hii, kwaiyo kinachofanyika ni kocha kuwa na mbinu na hesabu kali ili afuzu hatua inayofata kwaiyo orlando uliyoiona jana itakuwa tofauti na orlando utakayoiona kwenye mechi ya marudiano
 
Game plan ya kucheza mechi za away unaijua wewe? Orlando aliingia kwa kuwaeshimu simba na kitu ambacho awakutaka kukiruusu ni kufungwa zaidi ya goli moja ama wapate sare, siku zote mechi za ugenini uwa ni ngumu kwenye hatua Kama hii, kwaiyo kinachofanyika ni kocha kuwa na mbinu na hesabu kali ili afuzu hatua inayofata kwaiyo orlando uliyoiona jana itakuwa tofauti na orlando utakayoiona kwenye mechi ya marudiano
Ikiwa mechi za ugenini ni ngumu,kwanini ulitaka simba ifunge magoli mengi?
 
Ukienda kuzuia itakuwa balaa. Wala washambuliwe kama vile walishinda walivyokuja nyumbani. Washambuliwe washambuliwe. Magoli ya ugenini yatafutwe.
 
Back
Top Bottom