Kwa mtu alie soma Bachelor Degree in Computing, ni Course ipi ya Master inaweza kumfaa.

Kwa mtu alie soma Bachelor Degree in Computing, ni Course ipi ya Master inaweza kumfaa.

nyonga nyonga

Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
27
Reaction score
4
Habari wana JF!
Naombeni ushauri wenu.
Kwa mtu aliesoma Bachelor Degree in Computing, ni course ipi ya Master inaweza kua bora zaidi kwake na ikaendana vizuri na degree yake ya kwanza.

Asante.
 
Habari wana JF!
Naombeni ushauri wenu.
Kwa mtu aliesoma Bachelor Degree in Computing, ni course ipi ya Master inaweza kua bora zaidi kwake na ikaendana vizuri na degree yake ya kwanza.

Asante.

Mkuu samahani computing unamaanisha mahesabu au computer science, or engneering
 
Mkuu samahani computing unamaanisha mahesabu au computer science, or engneering
computing ina inlude vyote ulivyo taja ikiweno na software eng n.k

Computing ina include vyote hivyo ulivyo vitaja, ikiwemo software eng N.k
 
computing ina inlude vyote ulivyo taja ikiweno na software eng n.k

Computing ina include vyote hivyo ulivyo vitaja, ikiwemo software eng N.k

Then masters unaweza specialize kwenye vitu vifuatavyo
1. Software engneering
2. Networking
3 web technologies
4 sytem analysis and design
5 database administration
 
Then masters unaweza specialize kwenye vitu vifuatavyo
1. Software engneering
2. Networking
3 web technologies
4 sytem analysis and design
5 database administration

je? computer archtecture anaweza fanya pia. na kati ya hizo ulizo nitajia ipi ni markatable duniani, wakati wote na hai chuji. pia ni chuo gani kizuri kwa hapa africa ni kizuri kwa masters za computer coure.
 
Back
Top Bottom