Kwa mtu mwenye tsh. 200,000/- hii hapa hela ya bure tsh. 347,200/- kwa sekunde tu

Kwa mtu mwenye tsh. 200,000/- hii hapa hela ya bure tsh. 347,200/- kwa sekunde tu

Ngosha Mashine

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2017
Posts
665
Reaction score
1,360
Wakuu mimi mwenyewe nimeweka hii kitu nasubiri pesa yangu tu yaani namaanisha kubeti nimebeti game mbili kwa tsh. 200,000/- game ni za uhakika kabisa

Yaani kama unabisha acha harafu subiri game iishe ikitokea nimeliwa sitaonekana tena humu harafu naenda kutembea na Mama yangu mzazi

Piga uwa galagaza mhindi lazima aliwe na wewe kama una hiyo pesa au zaidi weka tuhakikishe mhindi anarudi kwao AFCON hii

Algeria na Egypt wote washinde hizi game mbili tu weka dau la maana mshikaji wangu uhakika ila kama una roho ngumu unaweza kuongeza Senegar na Morocco pia washinde hawa jamaa mapema sana wanatoboa robo fainali

Mods naomba msiuunganishe uzi huu na nyuzi zingine ili watakaopinga waje wapinge pia baada ya hizo mechi

Wale wakujitungua pesa hiyo hapo sasa
Screenshot_20190704-211222.jpeg
 
#1
Mbona unanishawishi nivunje kibubu changu.
Ila siku hizi usipobet aidha kwenye ball, games n.k kutoka ni kazi
 
Wakuu mimi mwenyewe nimeweka hii kitu nasubiri pesa yangu tu yaani namaanisha kubeti nimebeti game mbili kwa tsh. 200,000/- game ni za uhakika kabisa

Yaani kama unabisha acha harafu subiri game iishe ikitokea nimeliwa sitaonekana tena humu harafu naenda kutembea na Mama yangu mzazi

Piga uwa galagaza mhindi lazima aliwe na wewe kama una hiyo pesa au zaidi weka tuhakikishe mhindi anarudi kwao AFCON hii

Algeria na Egypt wote washinde hizi game mbili tu weka dau la maana mshikaji wangu uhakika ila kama una roho ngumu unaweza kuongeza Senegar na Morocco pia washinde hawa jamaa mapema sana wanatoboa robo fainali

Mods naomba msiuunganishe uzi huu na nyuzi zingine ili watakaopinga waje wapinge pia baada ya hizo mechi

Wale wakujitungua pesa hiyo hapo sasaView attachment 1146830
Bro mi hela ya kula naungaunga we unabet ama kweli........ya kaisari ngoja mwachie mwnyewe
 
Wakuu mimi mwenyewe nimeweka hii kitu nasubiri pesa yangu tu yaani namaanisha kubeti nimebeti game mbili kwa tsh. 200,000/- game ni za uhakika kabisa

Yaani kama unabisha acha harafu subiri game iishe ikitokea nimeliwa sitaonekana tena humu harafu naenda kutembea na Mama yangu mzazi

Piga uwa galagaza mhindi lazima aliwe na wewe kama una hiyo pesa au zaidi weka tuhakikishe mhindi anarudi kwao AFCON hii

Algeria na Egypt wote washinde hizi game mbili tu weka dau la maana mshikaji wangu uhakika ila kama una roho ngumu unaweza kuongeza Senegar na Morocco pia washinde hawa jamaa mapema sana wanatoboa robo fainali

Mods naomba msiuunganishe uzi huu na nyuzi zingine ili watakaopinga waje wapinge pia baada ya hizo mechi

Wale wakujitungua pesa hiyo hapo sasaView attachment 1146830
huzijui timu za afrika wewe. subiri uone kazi utashangaa dkk 90 0-0 kama uwanjani magoli yameng'olewa vile, then timu inashinda extra time.
 
Mpira ungekuwa rahisi hivyo basi Barcelona angechukua ubingwa uefa,au Chile Jana angetoboa fainali Copa America.
NB nakuhakikishia ukipata hayo matokeo unayowaza njoo fufua hiii comment yangu.kila la kheri mkuu.
 
Mpira ungekuwa rahisi hivyo basi Barcelona angechukua ubingwa uefa,au Chile Jana angetoboa fainali Copa America.
NB nakuhakikishia ukipata hayo matokeo unayowaza njoo fufua hiii comment yangu.kila la kheri mkuu.
Narudia tena Egypt na Algeria lazima washinde mkuu, nitarudi kukujulisha hapa baada ya game hizo
 
direct win ni hatari sana kwa afya ya akili. laa si hivyo utajikuta unaweka uadui na watu hata hawakufahamu
Hahaha mkuu inaoneka wewe ni bingwa wa kuchana mikeka, me ni muzoefu huwa siweki game nyingi ili nipate pesa ya maana ila huwa naweka game moja au mbili tu harafu naweka pesa ya kutosha

Kiukweli toka naanza kubeti sina hasara ila nina faida au nikutumie screenshot ya mikeka yangu iliopita?
 
Hahaha mkuu inaoneka wewe ni bingwa wa kuchana mikeka, me ni muzoefu huwa siweki game nyingi ili nipate pesa ya maana ila huwa naweka game moja au mbili tu harafu naweka pesa ya kutosha

Kiukweli toka naanza kubeti sina hasara ila nina faida au nikutumie screenshot ya mikeka yangu iliopita?
mimi si mtu wa kutandika mkuu,

mimi huwa game moja au mbili tu, na sichezi direct win kabisa. magoli tu. na dc kidogo
 
mimi si mtu wa kutandika mkuu,

mimi huwa game moja au mbili tu, na sichezi direct win kabisa. magoli tu. na dc kidogo
Me kwenye magori ndo nachana sana mkuu, ila hapa nina uhakika tena kama ningekuwa jirani na wewe ningekukalisha baada ya hizi game
 
Me kwenye magori ndo nachana sana mkuu, ila hapa nina uhakika tena kama ningekuwa jirani na wewe ningekukalisha baada ya hizi game
magoli ndio mazuri mfano mimi hapa ningewakataa kwenye clean sheet hao ulio waua total odd 1.56
 
Back
Top Bottom