Kwa mtu mwenye tsh. 200,000/- hii hapa hela ya bure tsh. 347,200/- kwa sekunde tu

Eti wasipotoa naenda kutembea na mama Yangu mzazi khaaaaa!!
EBU IFIKE MAALA TUACHE KUWAHUSISHA WAZAZI WETU KATIKA MASUALA YA KIPUMBAVU KABISA.
Ziyech anakosa penat dk ya 90'+5 na game inaisha 1-1.extra time 1-1,penat Benin won it.
N;B Bado pale ukipoweka 200k
 
Narudia tena nitatembea na Mama yangu mzazi kutoka Dar mpaka Mwanza kwa mguu
 
Kasema angetembea nae kwa miguu kutoka dar mpaka mwanza not otherwise...kiswahili ni kibana Sana siku hizi
 
My opinion :
Algeria atatoa ila Egypt mkuu inabidi nikuweke katika maombi japo ka chance kapo lakini sio kama kwa Algeria.
 
Asee najua sio peke angu tuliokua tunausubiria mkeka wa uyu jamaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].mimav kama yote huko alipo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Narudia tena nitatembea na Mama yangu mzazi kutoka Dar mpaka Mwanza kwa mguu
Najiandaa kukupokea. Usiwe na wasi wasi sehemu ya kulala na kula ipo. Nitakupokea Nyegezi stendi
Kesho anza safari ila mama yako umuache utamchosha sana. Njoo mwenyewe.
 
Mikeka haitakagi mbwembwe akia Mungu[emoji3][emoji3].
Japo inauma lakini kuna muda inabidi ucheke tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…