Kwa mtu mwenye tsh. 200,000/- hii hapa hela ya bure tsh. 347,200/- kwa sekunde tu

Unaenda kutembea na mama yako mzazi?

Nadhani mida hii mnatembea wote kuelekea kanisani, acha niamini hivi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu vp umeend kumtembelea mama, maan naon Egypt alichokufany
 
Unazani kubet ni Rahisi ivo ama kweli nyie mnao kuja na mbwembwe humu kubet hua hamjui
 
 
***** kimyaaaaa kamali mchezo huu ujinga ndo mana niliacha unapoteza kingi unaingiza kidogo saiv nakula neema ya Mungu tu aendelee kunijaaalia daima
 
Mkuu naona tayar imeshakula kwako
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Ngosha mashine naona mashine ya ku bet imekusaga kisawasawa.
 
Msinicheke wakuu
 
Lete matekeo aisee mkiambiwa bangi mbaya hamsikii
 
***** kimyaaaaa kamali mchezo huu ujinga ndo mana niliacha unapoteza kingi unaingiza kidogo saiv nakula neema ya Mungu tu aendelee kunijaaalia daima
Mkuu acha tu huu mchezo ni kama una laana vile dah, mimi huwa nikipiga hesabu pesa nilizoliwa nachoka kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…