Pre GE2025 Kwa muda uliobaki kuelekea uchaguzi mkuu, kauli ya "No reform, No election" ni sawa na kufua kanzu ya kwendea msikitini ijumaa saa 6 na nusu mchana

Pre GE2025 Kwa muda uliobaki kuelekea uchaguzi mkuu, kauli ya "No reform, No election" ni sawa na kufua kanzu ya kwendea msikitini ijumaa saa 6 na nusu mchana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Hakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.

Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.

Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
 
Kwa vile mzee wa ubwabwa ana chama cha siasa kugoma kwao chadema bado haijawa tija watufute muarobaini wa kuwakabili sisiem
 
Nusu saa inatosha kufua nguo ikakauka Kwa kutumia dry cleaner.

Muda unatosha,

Tunapo pa kuanzia, Rasimu ya Warioba, Yale mapendekezo ya kwanza Bado yapo,

Ni kuyahuisha tu na kuongeza maboresho kidogo, tunasomga mbele.
 
CCM hamjawahi kuwa na muda kutosha wa kufanya jambo lolote lile kwa manufaa ya watanzania.

Hebu fikiria. CHADEMA wanatoa Taarifa ya kufanya mkutano, wanajibiwa hakuna Askari wa kutosha kuulinda mkutano husika.

Chama ajabu CHADEMA wakilazimisha kufanya mkutano huo, polisi wanakuja na magari zaidi ya kumi na Askari zaidi ya hamsini kuzuia mkutano usifanyike🙄
 
Hakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.

Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.

Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
Kwani kwa muda wote waliokuwa bungeni hao maccm walishindwa nini kubadili sheria?
Walizuiwa na nani?
 
Kwani kwa muda wote waliokuwa bungeni hao maccm walishindwa nini kubadili sheria?
Walizuiwa na nani?
Muda umekwisha, shiriki uchaguzi au acha, habembelezwi mtu hapa
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Hakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.

Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.

Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
CHADEMA wanayo hoja sana....chaguzi za nchi hii sio huru na za haki
ushahidi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na wa mwaka jana (2024).
 
Na hoja ya CHADEMA itawanufaisha mpaka Zanzibar ambako nako hujuma hufanywa miaka nenda rudi, mfano uchaguzi uliofutwa na Jecha na uchaguzi wa kura ya mapema.
 
CHADEMA wanayo hoja sana....chaguzi za nchi hii sio huru na za haki
ushahidi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na wa mwaka jana (2024).
Wrong timing, wakisimamisha uchaguzi naknya barabarani kuanzia mbagala mpaka posta. Hii ni Tanzania, yaani bora wampeleke futi sita chini kuliko atikise mfumo. Nchi ni kubwa kuliko tamaa ya mtu mmoja ya madaraka
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wrong timing, wakisimamisha uchaguzi naknya barabarani kuanzia mbagala mpaka posta. Hii ni Tanzania, yaani bora wampeleke futi sita chini kuliko atikise mfumo. Nchi ni kubwa kuliko tamaa ya mtu mmoja ya madaraka
Kwani madai ya mabadiliko ya Katiba ni tamaa ya mtu mmoja? Mbona watanzania wote tunataka mabadiliko ya Katiba?
 
Hakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.

Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.

Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
Hawana hata haraka ya hivyo, ndio maana wako tayari hata uchaguzi usogezwe mbele ili zipatikane sheria zisizo na upendeleo. Hivyo njoo na uzi mwingine.
 
Unaleta siasa kwenye mambo ya msingi katiba hata siku moja inatosha kubadilishwa siku zote mlikuwa wapi! Mwaka bila reform hamna uchaguzi! Hilo liweke kichwani wewe chawa! Watanzani sio wajinga kwa sasa!
 
Hawana hata haraka ya hivyo, ndio maana wako tayari hata uchaguzi usogezwe mbele ili zipatikane sheria zisizo na upendeleo. Hivyo njoo na uzi mwingine.
La kusogeza uchaguzi mbele ni kuwatoa kwenye ramani watu wanaojipanga kugombea kupitia chadema, ni kuwazubaisha
 
Hakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.

Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.

Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
Uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita ulikuwa wa haki?
Huko msikitini huwa unaenda kufanya nini kama wewe huamini katika haki?
Uko obsessed na madaraka kuliko kuwatumikia wananchi.
Muogope Mungu!
 
Wrong timing, wakisimamisha uchaguzi naknya barabarani kuanzia mbagala mpaka posta. Hii ni Tanzania, yaani bora wampeleke futi sita chini kuliko atikise mfumo. Nchi ni kubwa kuliko tamaa ya mtu mmoja ya madaraka
Duh, uko tayari kuona damu ya mwanadamu imwagike ili CCM ibaki madarakani?
Pole yako!
 
Back
Top Bottom