Kwani kwa muda wote waliokuwa bungeni hao maccm walishindwa nini kubadili sheria?Hakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.
Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.
Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
CHADEMA wanayo hoja sana....chaguzi za nchi hii sio huru na za hakiHakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.
Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.
Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
Wrong timing, wakisimamisha uchaguzi naknya barabarani kuanzia mbagala mpaka posta. Hii ni Tanzania, yaani bora wampeleke futi sita chini kuliko atikise mfumo. Nchi ni kubwa kuliko tamaa ya mtu mmoja ya madarakaCHADEMA wanayo hoja sana....chaguzi za nchi hii sio huru na za haki
ushahidi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na wa mwaka jana (2024).
Kwani madai ya mabadiliko ya Katiba ni tamaa ya mtu mmoja? Mbona watanzania wote tunataka mabadiliko ya Katiba?Wrong timing, wakisimamisha uchaguzi naknya barabarani kuanzia mbagala mpaka posta. Hii ni Tanzania, yaani bora wampeleke futi sita chini kuliko atikise mfumo. Nchi ni kubwa kuliko tamaa ya mtu mmoja ya madaraka
Hawana hata haraka ya hivyo, ndio maana wako tayari hata uchaguzi usogezwe mbele ili zipatikane sheria zisizo na upendeleo. Hivyo njoo na uzi mwingine.Hakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.
Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.
Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
La kusogeza uchaguzi mbele ni kuwatoa kwenye ramani watu wanaojipanga kugombea kupitia chadema, ni kuwazubaishaHawana hata haraka ya hivyo, ndio maana wako tayari hata uchaguzi usogezwe mbele ili zipatikane sheria zisizo na upendeleo. Hivyo njoo na uzi mwingine.
Aisee... Twaweza walikuwa sahihi πππLa kusogeza uchaguzi mbele ni kuwatoa kwenye ramani watu wanaojipanga kugombea kupitia chadema, ni kuwazubaisha
Sure lo time is the best answer
Uchaguzi wa serikali za mitaa uliopita ulikuwa wa haki?Hakuna mahesabu yoyote ambayo ya naweza kutoa jibu kwamba kwa muda tulio nao, nchi inaweza kufanya mabadiliko makubwa ya kikatiba.
Tunajua Lissu na genge lao wana kiu kali ya madaraka wakiamini watakuwa matajiri kwa kutumia fedha za umma. Lakini huwasikii wakiongelea maendeleo ya mwananchi. Wao ni vita ya madaraka tu.
Nchi iende kwenye uchaguzi, haya mengine yataongeleka katika muafaka mwaka 2026
Duh, uko tayari kuona damu ya mwanadamu imwagike ili CCM ibaki madarakani?Wrong timing, wakisimamisha uchaguzi naknya barabarani kuanzia mbagala mpaka posta. Hii ni Tanzania, yaani bora wampeleke futi sita chini kuliko atikise mfumo. Nchi ni kubwa kuliko tamaa ya mtu mmoja ya madaraka