Kwa mujibu wa Biblia, ni dhambi au si dhambi kwa Mkristo kunywa pombe?

Kwa mujibu wa Biblia, ni dhambi au si dhambi kwa Mkristo kunywa pombe?

Biblia moja inatumiwa na Wakristo wengi japo wengine ina vitabu 66, wengine ina zaidi ya vitabu 66.

Wanaotumia vitabu 66 kuna vingine walivipunguza kwa sababu mbalimbali, ila Wakristo wengi Biblia yao haipungui vitabu 66 ambavyo ni common kwa wote.

Je, pombe ni halali au ni haramu (ni dhambi au sio dhambi) kwa mkristo kwa kurejelea (reference) maandiko ya kitabu cha Biblia?

Mana kuna Wakristo wengine wanaosema (amini) si dhambi na kuna wakristo wengine wanaosema (wanaoamini) ni dhambi.

Mungu atusaidie tujue, kukumbushana ukweli wa maandiko/mafundisho yake Mungu kwa staha bila kuhukumu wala kukashifu imani ya mwingine.
Kwa mjibu wa dini sio dhambi
Kwa mjibu wa Biblia Neno la Mungu ni dhambi
 
Amri kuu katika Ukristo ni Upendo.

Niambie ukinywa pombe na hujakwazana na yoyote yule ukaenda zako kulala dhambi inatoka wapi katika amri kuu ya UPENDO na zile 10 nyingine.
 
Wakatoliki wengi wanakunywa bia kwa uwaz baadhi ya waumini wa madhehebu mengine wanakunywa kwa kificho sijajua tatizo ni nini?
 
Back
Top Bottom