dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
CHADEMA inakidhi vigezo vya kupata uwakilishi wa viti maalum maana imepata zaidi ya asilimia 5 ya kura za ubunge.
Kutokana na muongozo liwake jua ama mvua Josephati Gwajima anaenda kukutana na Halima Mdee Bungeni kama Mwenyekiti wa BAWACHA. Mbaya zaidi atakuwa mbunge huru asiye na jimbo la kusemea sijui maji au madawa. Wakati Gwajima atakapokuwa akilalamikia mafuriko, Mdee atakuwa akilisemea taifa pamoja na hayo mafuriko atakayokuwa akilalamikia Gwajima.
Aisee muda wa Gwajima bungeni utakuwa mchungu sana.
Pamoja na yeye pia watakuwepo wanawake wengine machachari. Akiwemo Agnesta Lambart, Lucy Mgabe nakadhalika.
Any way acha tuanze kwanza maandamano ya kudai haki na mimi nitashiriki
Kutokana na muongozo liwake jua ama mvua Josephati Gwajima anaenda kukutana na Halima Mdee Bungeni kama Mwenyekiti wa BAWACHA. Mbaya zaidi atakuwa mbunge huru asiye na jimbo la kusemea sijui maji au madawa. Wakati Gwajima atakapokuwa akilalamikia mafuriko, Mdee atakuwa akilisemea taifa pamoja na hayo mafuriko atakayokuwa akilalamikia Gwajima.
Aisee muda wa Gwajima bungeni utakuwa mchungu sana.
Pamoja na yeye pia watakuwepo wanawake wengine machachari. Akiwemo Agnesta Lambart, Lucy Mgabe nakadhalika.
Any way acha tuanze kwanza maandamano ya kudai haki na mimi nitashiriki