Kwa mujibu wa cheo chake ndani ya CHADEMA, sasa Halima Mdee atakuwa Bungeni kama Mbunge Huru. Tutarajie nini?

Kwa mujibu wa cheo chake ndani ya CHADEMA, sasa Halima Mdee atakuwa Bungeni kama Mbunge Huru. Tutarajie nini?

Tamko la viongozi unajifanya haukulisikia jana. Unakuja kuokoteza mambo mtandaoni na kushangilia... Uchaguzi umeisha sasa kazi ya kulipwa kwa propaganda nayo imeisha.



Kunywa maji tukiwa tunajiandaa kubadilisha katib
 
Wasaka tonge. Hawawezi kufanya niandamane. Alitegesha sehemu mbili. Akikosa ubunge wa kuteuliwa, anaingia bungeni kwa viti maalum. Huo ndio upinzani.
 
Najua mnatamani CHADEMA wawemo Bungeni ili kuhalalisha ufedhuli wenu. Haitotokea! Roho ya kishetani kabisa. Mara oh wanarudisha nyuma maendeleo, hatuwataki. Mara oh walete viti maalum na wabunge 4 wa ACT. Furahieni wizi wenu na msiwahusishe CHADEMA na ACT katika haramu yenu hiyo.
mlitakiwa wana ccm na chadema
kwa wakati huu msiseme kitu,angalieni hali inavyokwenda mpaka mwisho

kisha
Mtapata majibu kamili,bila kuhenyeshana namna hii......

Subra muhimu
 
Unaona sasa hawa jamaa walivyokuwa wabinafsi? Yule dada Rukwa aliyeshinda wamemshinikiza akatae Ubunge wake alioupigania na kuusotea kwa jasho na kufanikiwa kuwashawishi Wananchi wamchague huku yeye Halima Mdee aliyekataliwa na wananchi anaenda (anataka) Bungeni kupitia mlango wa nyuma, why? Why, man so selfish?
Yule sio wa kaskazini.

Hongera Magufuli,Hongera Mwinyi,Hongera CCM
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Unaona sasa hawa jamaa walivyokuwa wabinafsi? Yule dada Rukwa aliyeshinda wamemshinikiza akatae Ubunge wake alioupigania na kuusotea kwa jasho na kufanikiwa kuwashawishi Wananchi wamchague huku yeye Halima Mdee aliyekataliwa na wananchi anaenda (anataka) Bungeni kupitia mlango wa nyuma, why? Why, man so selfish?
Unaongea kwa makalio nini.hilo Jimbo apewe Janet.
 
CHADEMA inakidhi vigezo vya kupata uwakilishi wa viti maalum maana imepata zaidi ya asilimia 5 ya kura za ubunge.

Kutokana na muongozo liwake jua ama mvua Josephati Gwajima anaenda kukutana na Halima Mdee bungeni kama mwenyekiti wa BAWACHA. Mbaya zaidi atakuwa mbunge huru asiye na jimbo la kusemea sijui maji au madawa. Wakati Gwajima atakapokuwa akilalamikia mafuriko, Mdee atakuwa akilisemea taifa pamoja na hayo mafuriko atakayokuwa akilalamikia Gwajima.

Aisee muda wa Gwajima bungeni utakuwa mchungu sana.

Pamoja na yeye pia watakuwepo wanawake wengine machachari. Akiwemo Agnesta Lambart, Lucy Mgabe nakadhalika.

Any way acha tuanze kwanza maandamano ya kudai haki na mimi nitashiriki
kashiriki maandamano haramu utakutana na vijana wa mambo sasa watakuchakaza mpaka maji utaita mmaaaaa
 
Tunakutana wapi makamanda, tayari niko barabarani kupigania haki!
 
Back
Top Bottom