Kwa mujibu wa maandiko na historia ndugu wa karibu na bana Israeli ni uzao wa watoto na wajukuu na vitukuu wa Esau na siyo Ishmael

Kwahiyo Mayahudi ni Ndugu za Esau. Vipi Maarabu nayo ni Ndugu za nani?
 
Sahihi. Na uzao wa Esau ndio nchi ya Yordan ya sasa na uzao wa Yakobo ndio Israel ya sasa. Uzao wa Ishmael ni Saudi Arabia ya sasa. Wapalestina sio waarabu ni mabaki ya Wafilisti na makabila mengine kama Wayebusi, Wahivi nk ambao Waisrael hawakuweza kuwamaliza kuwaangamiza kama walivyoelekezwa na Mungu. Sasa kupitia dini ya kiislamu wanajifanya nao ni Waarabu wakati sio kweli.
 
Tatizo la waafrika hawaandiki historia na wanahadithiana porojo sio facts. Wenzenu wameandika historia yote. Miafrika hata kusoma vitabu ni wavivu!
 
Tupe na historia yako wewe
 
Hizo
Hizo sio kumbukumbu zetu mkuu ni zao kwani sisi ni Wana wa Israel?
 
Kwahiyo wewe watoto wa baba yako mkubwa ni ndugu zako?
Ila waisrael watato wa baba Yao mkubwa sio ndugu zao?
Imani huwa inawatoa watu ufahamu,halafu yeye mgogo ndiye anayejiita Muisiraeli,lakini huyu wa baba mkubwa na mdogo anasema siyo ndugu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…