Kwa mujibu wa Nyerere, Kikwete hatufai!

Kwa mujibu wa Nyerere, Kikwete hatufai!

We kweli zuzu! Watanzania tunahangaika kujinasua kutoka kwenye katiba mbovu aliyotuachia halaf wewe bado unamfanya nyerere kama reference?...kweli nchi hii mazuzu wanaongezeka kila siku
Mkuu,

Nakusoma sana na nakuzingatia mno, umemaliza kila kitu kwenye hii post yako.
 
Huu ulimbukeni utaisha lini huyo baba yenu wa taifa wakati wa utawala wake kaitetea katiba alivyokuwa anaweweka watu kwenye viziwizi na wengine wanafia huko.

Nikupe orodha alivyowatesa watu na kudhulumu mali za watu.

Nyerere ndiyo kaacha mifumo mibovu ya kiutawala ambao ipo mpaka leo.

unakumbuka aliongoza nchi miaka mingapi? Na tangu aachie ngazi ni miaka mingapi mpaka sasa? Hiyo mifumo unayoisema waliomfuatia hawakuweza kuibaini na kuibadilisha kweli? Kuwa na aibu.
 
Mwanzo, nilidhani utakua uzushi, ila leo kupitia maadhimisho ya miaka 36 ya kuzaliwa CCM, ndio nimeamini kupitia matamshi yake. Hv ni kwanini Ndg. Mrisho Kikwete huwa hataki kutamka Jina "Baba wa Taifa Julius Kambarage Nyerere"????
Je na zile picha za kumbukumbu zenye Jina la Baba wa Taifa..., ziliandikwa kimakosa??


By bullet proof:
Nimewahi kusikia kwa mtu kuwa Rais Kikwete huwa hamuiti Mwalimu Nyerere 'baba wa taifa', kama tunavyofanya watanzania wengi. Japo sina uhakika sana na hili, mimi pia nimemsikiliza JK mara kadhaa anapoongea kuhusu Nyerere hamuiti baba wa taifa bali humuita 'mzee Nyerere'.

Kuna sababu yoyote ya maana inayomfanya JK asimuite baba wa taifa? au ameamua mwenyewe tu kumuita hivyo? Kuna tatizo lolote kutokumuita baba wa taifa?

Kwani kuna ulazima wa kuitwa baba wa Taifa? Hata akiitwa Mzee Nyerere si inatosha. Acheni kuwa na akili za kizamani. Badilikeni.
 
Mainterahamwe humnukuu nyerere pale yanapoona kuna maslahi yao ya kifisadi!
 
hicho kizee ndo hakitufai kabisa. umasikini tulionao waTanzania huwezi kuutenganisha na nyerere. tatizo ni kuwa kalizoea vya kunyonga, vya kuchinja kasingeviweza.

Moja ya hotuba ya baba wa Taifa,ambayo sehemu yake hurushwa kila siku na ITV mara baada ya taarifa ya habari kama wosia wa baba wa taifa,inasema na hapa nanukuu "mtu anaeona haya kuitetea katiba aliyoapa kuilinda hatufai na aende akafanye kazi nyingine(akalime)".

Sasa kwasababu raisi Kikwete aliona haya kuitetea katiba yetu kwa kuruhusu utungwaji wa katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010 iliyovunja katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo Raisi Kikwete mwenyewe aliapa kuilinda, basi ni wazi kuwa Raisi Kikwete hatufai na arudi kijijini kwake Msoga akalime.

Kama kweki tunamuenzi Nyerere kwa vitendo,basi Raisi Kikwete aonyeshe mfano kwa kujiuzulu na si kwa maneno matupu.
 
Hivi Nyerere na yeye anacheza bongo movie au ndio nani? Maana wengine wageni hapa
 
UKISOMA KISA HIKI UTAELEWA KWA NN SAMWEL LUHANGA ANAMCHUKIA MWL

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli,........... hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama... lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!!

**Ndugu zangu hiki ni kisa cha ukweli kwa 100%, inawezekana uandishi wangu ukawa na upungufu, lakini niemekipata kutoka watu mbalimbali waliowahi kuwa karibu sana na mkasa huu...

Kwani huyu jamaa, mbona nimewahi kusikia alikuwa Lt. Col wa jeshi. Ilikuwaje, iwapo hakumaliza kozi? Funguka zaidi
 
Huu ulimbukeni utaisha lini huyo baba yenu wa taifa wakati wa utawala wake kaitetea katiba alivyokuwa anaweweka watu kwenye viziwizi na wengine wanafia huko.

Nikupe orodha alivyowatesa watu na kudhulumu mali za watu.

Nyerere ndiyo kaacha mifumo mibovu ya kiutawala ambao ipo mpaka leo.

tutajie mhe mbunge riz semaaa usiogpe seeema sisi ni sema taja hayo majina mkuu.
 
Huu ulimbukeni utaisha lini huyo baba yenu wa taifa wakati wa utawala wake kaitetea katiba alivyokuwa anaweweka watu kwenye viziwizi na wengine wanafia huko.

Nikupe orodha alivyowatesa watu na kudhulumu mali za watu.

Nyerere ndiyo kaacha mifumo mibovu ya kiutawala ambao ipo mpaka leo.
Hayo maneno niliyoweka rangi inawezekana hukuwa na maana ya dhahiri ya kutumuaminisha kuwa huyo anayeitwa baba wa taifa hili hakuwa na umuhimu wowote katika taaia. Kikwete mnayemtukuza hapa kasomeshwa kwa sera za huyo usiyemtambua kama baba wa taifa. Wakati mwingine mjifunze kuwa na akili za kushughulikia mambo yaliyopo mbele yetu kuliko kutumia nguvu nyingi kuandika historia upya; matumzi mabaya ya nguvu hiyo ndiyo yanayofanya watanzania tuendelee kuwa masikini kwa vile tunakuwa hatuna muda wa kuangalia sera zetu za sasa bali tunatumia nguvu sana kudiscredit sera za zamani. Siasa ni kipande kimoja cha maisha na historia ni kipande permanent! Hamumjengii Kikiwete jina jema katika historia kwa kutrumia njia ya kumbash Nyerere hasa kwa Vile Kikwete yupo stage nne kutoka kwa Nyerere. Nyerere bashing ingebakia kwa Mwinyi, siyo kwa Kikiwete. Kufanya hivyo ni kuonyesha kuwa hana jipya kama ambavyo tumeona katika miaka minane iliyopita.
 
Huu ulimbukeni utaisha lini huyo baba yenu wa taifa wakati wa utawala wake kaitetea katiba alivyokuwa anaweweka watu kwenye viziwizi na wengine wanafia huko.

Nikupe orodha alivyowatesa watu na kudhulumu mali za watu.

Nyerere ndiyo kaacha mifumo mibovu ya kiutawala ambao ipo mpaka leo.

Now you're talking, aliyosema lissu ndiyo hayo,nyerere hakuwa mungu, sasa ukisema wewe andazi unga was ngano,na akisema lissu no kitumbua unga wa mchele.
Swallow that.
 
Wewe kauzu kweli ina maana wewe hapa upo kuitetea Chadema, mimi siyo kama wewe sishikiwi akili natumia akili yangu kupambanua mambo.

Ungekuwa unapambanua mambo ungekuwa unaunga mkono kila upuuzi wa CCM?!Ni mambo mangapi ya kipuuzi huwa unayatetea hapa jukwaani?

Acha unafiki na kutufanya sisi wajinga!
 
Back
Top Bottom