Kwa mujibu wa Raphinha

Kwa mujibu wa Raphinha

Brazil ina watu sana, Neymar hata asiporudi uwanjani sioni pengo lake pale, wale jamaa wamejaa na mbaya zaidi wanaupiga mwingi kama klabu fulani ya ligi kuu Uingereza
Ungemalizia tu kusema Aseno
 
Huyo Neema hajanivutiaga katika uchezaji wake, hata kwenye nomination za tuzo haonekani licha ya kutajwa sana, hata kama ana kipaji lakini hajakifanyia KAZI kama akina Messi, Ronaldo, Ronaldinho, na wengine waliofanya makubwa, yeye bado hajafanya makubwa katika soka tofauti na matarajio ya wengi
 
Neymer hata asipokuwepo Brazil inapata matokeo, ubishoo umemjaa na huu ndo msimu wake wa mwisho wa kucheza world cup.
hajaacha historia yoyote kwenye timu yake ya taifa
 
▪︎Raphinha: 🗣 "Mashabiki wa Argentina wanamchukulia Messi kama mungu, Mashabiki wa Ureno wanamchukulia Ronaldo kama Mfalme, huku mashabiki wa Brazil wakishangilia Neymar kuvunjika mguu.

Inasikitisha sana, kosa kubwa katika maisha ya Neymar ni kuzaliwa Brazil. Nchi hii haistahili hiki kipaji chake na soka lake ."
Uwe unajitahidi kuweka “source” ya taarifa zako.
 
Back
Top Bottom