Kwa mujibu wa Samia, Rais huwa hakosei na hivyo hakuna pahali Hayati Magufuli alikosea kama Rais

Kwa mujibu wa Samia, Rais huwa hakosei na hivyo hakuna pahali Hayati Magufuli alikosea kama Rais

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Kwa mujibu wa Samia ni kosa la jinai kutamka kwa namna yeyote eti Rais alikosea na hii ni kwa SABABU RAIS HUWA HAKOSEI.

Muktadha wangu ni upi hapa;

Kwanza ni wakosefu wa adabu wale wote wanao jaribu kumhusianisha na makosa yeyote Hayati Magufuli kwa sababu Samia alishasema Rais huwa hakosei!

Pili kwa mujibu wa Katiba yetu Rais ndiye muamuzi wa mwisho kwa lolote lile na aliamlilo yeye ndilo amuzi la mwisho na kwalo hayupo wa kuhoji ama kulisemea tena.

Kwa sababu hizo basi Watanzania yatupasa tuwe na kiasi huku tukirejerea angalizo la Samia kwa Rais kutokukosea.

Vinginevyo, Samia alitudanganya.
 
... alimaanisha rais hakosei at the moment akiwa madarakani. Akishaondoka ni sahihi kuchambua matendo yake alipokuwa rais na ambacho hakikuwa kosa wakati ule kinaweza kuwa kosa sasa.

Nchi zingine rais akishamaliza muda wake anaweza kusthtakiwa ni mapungufu ya Katiba yetu inalea upumbavu.
 
... alimaanisha rais hakosei at the moment akiwa madarakani. Akishaondoka ni sahihi kuchambua matendo yake alipokuwa rais na ambacho hakikuwa kosa wakati ule kinaweza kuwa kosa sasa.

Nchi zingine rais akishamaliza muda wake anaweza kusthtakiwa ni mapungufu ya Katiba yetu inalea upumbavu.
Katiba yetu inasema Rais hawezi shitakiwa kwa mambo aliyofanya akiwa madarakani hivyo hata akistaafu bado anakua hajafanya kosa lolote.
 
Rais hakosei kwani ni malaika?

Sasa kama kweli hakosei kwanini wamempa kinga asishtakiwe?
 
kwa hiyo hata akikosea kingereza chake kibovu mtu ukimsema inakuwa jinai? katiba yetu ni kituko.
 
Rais hakosei kwani ni malaika?

Kauli ya kilevi tu.

Sasa kama kweli hakosei kwanini wamempa kinga asishtakiwe?
Katiba yetu ndivyo inavyosema kuwa Rais hawezi shitakiwa kwa makosa aliyofanya wakati akitimiza majukumu yake akiwa madarakani.

Hivyo inamaana Rais huwa hakosei. Simple.
 
Katiba yetu ndivyo inavyosema kuwa Rais hawezi shitakiwa kwa makosa aliyofanya wakati akitimiza majukumu yake akiwa madarakani.

Hivyo inamaana Rais huwa hakosei. Simple.
Kwani hiyo Katiba ilijiandika? Nop, iliandikwa na wajinga.
 
Kwani hiyo Katiba ilijiandika? Nop, iliandikwa na wajinga.
Hao walikua wasomi wetu miaka hiyo. Tena akili zao ni timamu kuliko sisi wa sasa.

Katiba imeweza kufanya kazi kwa miaka 60 sasa.

Hii mpya kwa wasomi wetu hawa wanao copy na kupaste research na kuja na ripoti kama za mto Mara.

Haitadumu hata miaka mitano.
 
... alimaanisha rais hakosei at the moment akiwa madarakani. Akishaondoka ni sahihi kuchambua matendo yake alipokuwa rais na ambacho hakikuwa kosa wakati ule kinaweza kuwa kosa sasa.

Nchi zingine rais akishamaliza muda wake anaweza kusthtakiwa ni mapungufu ya Katiba yetu inalea upumbavu.
Sasa huu ndomtazamo mbovu sasa wanapoziba mianya ya kuwakosoa wanapokuwa madarakani ndo maana wanafanya makosa makubwa. Wakijua hawata hojiwa.
 
Ngoja nimrudie Mery mkwanjau ushaiva
 
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Madame Samia Suluhu Hassan
Chief Hangaya
Chui Jike






Tuvushe Sasa
 
Hata akiwa madarakani anakosea,na hayo ndiyo mawazo yankipuuzi ambayo yametufukaeisha nchi baadhi za Afrika.Mungu tu hakosei I we leo, jana au kesho.
 
Back
Top Bottom