Kwa mujibu wa Sensa, hii ndiyo mikoa liyowekeza vyema kwenye suala la elimu

Kwa mujibu wa Sensa, hii ndiyo mikoa liyowekeza vyema kwenye suala la elimu

kyagata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2016
Posts
10,406
Reaction score
19,892
Mikoa mama ya Kanda ya ziwa yani Mwanza, Mara na Kagera inaonekana kujizatiti vyema haswa katika swala la elimu ikifuatiwa na mikoa ya pwani pamoja na kaskazini.

Kwa hiyo kile kitendawili cha mikoa gani inaongoza kwa kuwa na wasomi wengi hapa Tanzania huenda kikawa kimeteguliwa na sensa ya watu na makazi ya 2022.

Angalia jedwali hapo chini.

Screenshot_20221126-044244_Adobe Acrobat.jpg
 
Ungeweka na takwimu za idadi ya watu ili tuwianishe idadi ya shule na watu kwa mikoa husuka.
 
Ungeweka na takwimu za idadi ya watu ili tuwianishe idadi ya shule na watu kwa mikoa husuka.
Pamoja na uwiano wa wanafunzi kwa madarasa (wastani wa idadi ya wanafunzi kwa kila darasa) na wanafunzi kwa walimu.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Ungeweka na takwimu za idadi ya watu ili tuwianishe idadi ya shule na watu kwa mikoa husuka.
Hivyo vingine unavyovitaka viweke wewe mkuu.
 
Ungeweka na takwimu za idadi ya watu ili tuwianishe idadi ya shule na watu kwa mikoa husuka.
Hapa sijui wataalam mnasemaje mf: Kilimanjaro primary 999, secondary 349 shule moja pungufu ya Dar es Salaam wakati population ni 1.8+ ml haifiki ata nusu ya Dar... Au watu wengi Dar watoto wao secondary wanasoma mikoa mingine?
jamiiforums_1667878218274692.jpg
 
Back
Top Bottom