- Kuna sheikh mmoja hivi aliwahi kufafanua hili vizuri sana, ila Sheria ya ndoa imetoa sbabu zipi Ili ndoa ivunjikeSisi waislamu tunamalizana wenyewe hatuendi mahakamani,labda dini zingine,
Yaani mkubaliane wenyewe mkamtaarifu sheikh aweke baraka zake kwa niaba ya ALLAH halafu kuachana twende huko kwa court😳😳😳
Ndoa za kikristo ndo humalizwa mahakamani na sio za kiislamuKwa sheria za nchi, ndoa ya Manara na bi mdogo wake waliyevurugana bado ni halali, talaka, kwa sheria za Tanzania, inatolewa mahakamani baada ya mahakama kujiridhisha na sababu za kuomba talaka.
Yale mambo ya kumtamkia mke hayatambuliki kisheria.
Kama gari za Manara lina breki za upepo mpaka dereva apampu, bi mdogo atatuanikia pale kisutu
Manara bado unalo!
Unajua kuna watu, hata hizo sheria za ndoa hawazijui, wanaandika wasivyovijua.Ndoa za kikristo ndo humalizwa mahakamani na sio za kiislamu
Sisi dini yetu imekamilika
Yni ndoa ameleta Mungu ila talaka tukaitafute mahakamani tena kwa sheria za binadamu ,hatupo ivo sisi waislamu kma mke kazingua unamuacha on the spot