JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
Ni Joseph Yona Na soccer letu
KWA MUJIBU WA TAARIFA NI KUWA WALIRUSHIANA MANENO KATI YA HAJI MANARA NA RAIS WA TFF KARIA
KAMA WALIRUSHIANA MANENO WHY AFUNGIWE MMOJA AU RAIS WA TFF ANARUHUSIWA KURUSHIA MANENO MTU YEYOTE
Chini ya Uongozi wa Karia
[emoji117] Malinzi Kakamatwa
[emoji117] Wambura (Makamu wa Rais) kafungiwa
[emoji117]Shafii Dauda kafungiwa
[emoji117]Makocha wamefungiwa
[emoji117]Mwakalebela kafungiwa
[emoji117]Haji Manara kafungiwa
Kama uko kwenye Football ya Karia ukajihisi uko salama unakosea sana ipo siku UTAFUNGIWA.
Hujuma za @tanfootball TFF bana kwa @hajismanara
Unamfungiaje miaka 2 na faini ya 20M.
Yote hii kisa ni Yanga [emoji471][emoji471][emoji471][emoji460][emoji460][emoji460]
Hujuma haitafanikiwa kuizuia @yangasc kwenye mabadiliko na pira burudani na Biriani... Imekuwa adhabu kubwa kubwa sana, anyway kwa kuwa waziri mwenye dhamana ya utamaduni, Sanaa na michezo Mhe @mohamed_mchengerwa yupo ataitafakari adhabu.
#KataaUonevu
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
KWA MUJIBU WA TAARIFA NI KUWA WALIRUSHIANA MANENO KATI YA HAJI MANARA NA RAIS WA TFF KARIA
KAMA WALIRUSHIANA MANENO WHY AFUNGIWE MMOJA AU RAIS WA TFF ANARUHUSIWA KURUSHIA MANENO MTU YEYOTE
Chini ya Uongozi wa Karia
[emoji117] Malinzi Kakamatwa
[emoji117] Wambura (Makamu wa Rais) kafungiwa
[emoji117]Shafii Dauda kafungiwa
[emoji117]Makocha wamefungiwa
[emoji117]Mwakalebela kafungiwa
[emoji117]Haji Manara kafungiwa
Kama uko kwenye Football ya Karia ukajihisi uko salama unakosea sana ipo siku UTAFUNGIWA.
Hujuma za @tanfootball TFF bana kwa @hajismanara
Unamfungiaje miaka 2 na faini ya 20M.
Yote hii kisa ni Yanga [emoji471][emoji471][emoji471][emoji460][emoji460][emoji460]
Hujuma haitafanikiwa kuizuia @yangasc kwenye mabadiliko na pira burudani na Biriani... Imekuwa adhabu kubwa kubwa sana, anyway kwa kuwa waziri mwenye dhamana ya utamaduni, Sanaa na michezo Mhe @mohamed_mchengerwa yupo ataitafakari adhabu.
#KataaUonevu
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara
#FreeManara