mwandende JF-Expert Member Joined Feb 16, 2017 Posts 11,005 Reaction score 20,805 Jul 21, 2022 #21 Na bado
Maulaga59 JF-Expert Member Joined Feb 1, 2021 Posts 2,984 Reaction score 2,971 Jul 21, 2022 #22 Waziri ni serikali na kwa mujibu wa sheria na kanuni za FIFA ni marufukuuu serikali kuingilia maswala ya michezo! Upo hapo we kiwindu!
Waziri ni serikali na kwa mujibu wa sheria na kanuni za FIFA ni marufukuuu serikali kuingilia maswala ya michezo! Upo hapo we kiwindu!
M Mdukuzii JF-Expert Member Joined Jun 27, 2022 Posts 2,552 Reaction score 6,422 Jul 21, 2022 #23 Unamtukana Rais,President putin
I ibanezafrica JF-Expert Member Joined Oct 23, 2014 Posts 7,261 Reaction score 6,553 Jul 21, 2022 #24 Ilitosha kumfungia wiki 3 na faini ya laki 3...hii miaka miwili ni kukomoana..
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Jul 21, 2022 #25 Maulaga59 said: Waziri ni serikali na kwa mujibu wa sheria na kanuni za FIFA ni marufukuuu serikali kuingilia maswala ya michezo! Upo hapo we kiwindu! Click to expand... Huyo pimbi hajui hilo hawa ndiyo washabiki oya oya
Maulaga59 said: Waziri ni serikali na kwa mujibu wa sheria na kanuni za FIFA ni marufukuuu serikali kuingilia maswala ya michezo! Upo hapo we kiwindu! Click to expand... Huyo pimbi hajui hilo hawa ndiyo washabiki oya oya
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Jul 21, 2022 #26 Tatizo la manara ni kuchanganya siasa na mpira hajui anaowatukana wana connection kubwa sana huko serikalini nasemaje ngoma bado mbichi hii.
Tatizo la manara ni kuchanganya siasa na mpira hajui anaowatukana wana connection kubwa sana huko serikalini nasemaje ngoma bado mbichi hii.
Boss la DP World JF-Expert Member Joined Dec 12, 2021 Posts 2,318 Reaction score 8,464 Jul 21, 2022 #27 Siku moja Kuna mtu atachezea risasi za matacle hapo TFF
Steve Dee Member Joined Dec 18, 2017 Posts 18 Reaction score 24 Jul 21, 2022 #28 Ndio kwanza kumekuchaaaaa