Jambo la kheri kuwa sherehe za nane nane zimefutwa kimya kimya.
Juzi kati Mwenge wa Uhuru ulikuwa Morogoro nao kimya kimya.
Mambo ya mbuni yametufikisha hapa.
---- extracts tokea kwake Zitto Kabwe.
Kwamba tunapoteza watu si chini ya 2,000/mwezi kwa Corona. Hali hii si ya kufumbiwa macho.
Wanaokufa katika hali hizi zinazoweza kuzuilika ni watu kama wewe na miye.
Kwamba hajawajibika mtu hadi leo kwa hali hii, kwa hakika haikubaliki.
Juzi kati Mwenge wa Uhuru ulikuwa Morogoro nao kimya kimya.
Mambo ya mbuni yametufikisha hapa.
---- extracts tokea kwake Zitto Kabwe.
Kwamba tunapoteza watu si chini ya 2,000/mwezi kwa Corona. Hali hii si ya kufumbiwa macho.
Wanaokufa katika hali hizi zinazoweza kuzuilika ni watu kama wewe na miye.
Kwamba hajawajibika mtu hadi leo kwa hali hii, kwa hakika haikubaliki.