kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Rwanda ya kagame inacheza game moja chafu sana eneo la maziwa makuu.
Kwanza walipovamia congo walipandikiza majasusi kibao congo. Jeshi la DRC Fardc si chochote ni mkusanyiko wa wahuni tu. Nimeambiwa na marafiki majenerali wanajichubua ngozi na wanajaa kwenye mabaa kustarehe tu. Hawana weledi wamekalia kupokea maelekezo toka rwanda kwa ujira.
Ndio maana Fardc ni kukimbizwa ovyo na M23 bila hata kufyetua risasi.
Mchezo anaocheza kagame congo ni utumishi kwa makampuni yanayopora madini ya Congo ambapo rwanda na uganda ni wabia. Inaelekea baadhi ya viongozi DRC na Makamanda wa Fardc wanahusika. Munusco vikosi vingi ni kutoka india na pakistan. Hawa nao penye madini usifikiri watapigana na mtu mwenye madini.
JWTZ walishatoa mchamgo kuwapiga na kuwafukuza hadi Uganda hao M23. Hebu fikiri kwa nini uganda isihakikishe kikundi hicho kinakufa? Badala yake wamekilea hadi kuweza kurejea tena.
Kwanza walipovamia congo walipandikiza majasusi kibao congo. Jeshi la DRC Fardc si chochote ni mkusanyiko wa wahuni tu. Nimeambiwa na marafiki majenerali wanajichubua ngozi na wanajaa kwenye mabaa kustarehe tu. Hawana weledi wamekalia kupokea maelekezo toka rwanda kwa ujira.
Ndio maana Fardc ni kukimbizwa ovyo na M23 bila hata kufyetua risasi.
Mchezo anaocheza kagame congo ni utumishi kwa makampuni yanayopora madini ya Congo ambapo rwanda na uganda ni wabia. Inaelekea baadhi ya viongozi DRC na Makamanda wa Fardc wanahusika. Munusco vikosi vingi ni kutoka india na pakistan. Hawa nao penye madini usifikiri watapigana na mtu mwenye madini.
JWTZ walishatoa mchamgo kuwapiga na kuwafukuza hadi Uganda hao M23. Hebu fikiri kwa nini uganda isihakikishe kikundi hicho kinakufa? Badala yake wamekilea hadi kuweza kurejea tena.