Kwa muonekano M23 ni jeshi la nchi fulani

Kwa muonekano M23 ni jeshi la nchi fulani

Yani kweli kimtu kimoja chembamba ndo kinasumbua umoja wa nchi zote za Afrika mashariki?

Basi kwa kizaramo tunasema bwana kagame ni mtu mwelevu na mwenye akili nyingi sana.
 
Rwanda ya kagame inacheza game moja chafu sana eneo la maziwa makuu.

Kwanza walipovamia congo walipandikiza majasusi kibao congo. Jeshi la DRC Fardc si chochote ni mkusanyiko wa wahuni tu. Nimeambiwa na marafiki majenerali wanajichubua ngozi na wanajaa kwenye mabaa kustarehe tu. Hawana weledi wamekalia kupokea maelekezo toka rwanda kwa ujira.

Ndio maana Fardc ni kukimbizwa ovyo na M23 bila hata kufyetua risasi.

Mchezo anaocheza kagame congo ni utumishi kwa makampuni yanayopora madini ya Congo ambapo rwanda na uganda ni wabia. Inaelekea baadhi ya viongozi DRC na Makamanda wa Fardc wanahusika. Munusco vikosi vingi ni kutoka india na pakistan. Hawa nao penye madini usifikiri watapigana na mtu mwenye madini.

JWTZ walishatoa mchamgo kuwapiga na kuwafukuza hadi Uganda hao M23. Hebu fikiri kwa nini uganda isihakikishe kikundi hicho kinakufa? Badala yake wamekilea hadi kuweza kurejea tena.
JESHI LA CONGO SIO KWAMBA HAWANA UWEZO WA KUPIGANA NA RWANDA , SHIDA NI UONGOZI KUANZIA SERIKALINI MPAKA JESHINI UNASHIDA.
 
Binafsi natia shaka sana ushiriki wa rwanda msumbiji. Badala ya kufanya kazi na msumbiji wanaweza kufanya kazi na wawekeza wa gesi na mafuta kwa ujira au kufanya shughuli kama mamluki kulinda wahujumu kwenye madini. Ilkua makosa msumbiji kuita rwanda. Chanzo cha kuihujumu congo hawakutaka kuondoka walipotakiwa. Pia raia wa rwanda walidai vyeo vikubwa nchini congo kama vile ni rais.
Rwanda kule walipelekwa na wafaransa na kampunity ya TOTAL walimlpia ok $20 million,
Rwanda kule ni mamruki wa total , ndo maana kwa sasa hawapigani wapo tuu kulinda visits vya gesi basi.
 
Kagame hutumia muda mwingi kuwahujumu marais wasiojielewa. Jpm alipogundua kuwa kagame si mzuri alikata mawasiliano haraka sana. Jk pia alikuwa smart sana kudeal na huyu myahudi feki wa kigali.
MWENDAZAKE ALIMSHUTUKIA BAADAE , KUNA KIPINDI ALIKUITA KWENYE KIKAO FLANI HIVI , JPM HAKUKWENDA WALA NINI.
 
Rwanda ya kagame inacheza game moja chafu sana eneo la maziwa makuu.

Kwanza walipovamia congo walipandikiza majasusi kibao congo. Jeshi la DRC Fardc si chochote ni mkusanyiko wa wahuni tu. Nimeambiwa na marafiki majenerali wanajichubua ngozi na wanajaa kwenye mabaa kustarehe tu. Hawana weledi wamekalia kupokea maelekezo toka rwanda kwa ujira.

Ndio maana Fardc ni kukimbizwa ovyo na M23 bila hata kufyetua risasi.

Mchezo anaocheza kagame congo ni utumishi kwa makampuni yanayopora madini ya Congo ambapo rwanda na uganda ni wabia. Inaelekea baadhi ya viongozi DRC na Makamanda wa Fardc wanahusika. Munusco vikosi vingi ni kutoka india na pakistan. Hawa nao penye madini usifikiri watapigana na mtu mwenye madini.

JWTZ walishatoa mchamgo kuwapiga na kuwafukuza hadi Uganda hao M23. Hebu fikiri kwa nini uganda isihakikishe kikundi hicho kinakufa? Badala yake wamekilea hadi kuweza kurejea tena.
Mi nikajua umeweka picha ili nione muonekano, kumbe hujaweka?
 
Kagame hutumia muda mwingi kuwahujumu marais wasiojielewa. Jpm alipogundua kuwa kagame si mzuri alikata mawasiliano haraka sana. Jk pia alikuwa smart sana kudeal na huyu myahudi feki wa kigali.
Huyo myahudi wa mchongo anatamania kumfyeka JK.. anajua ndiyo viunxi pekee vilivyosalia
 
Dawa ya Kagame inachemka na wanayo wahutu. Ni suala la muda watarudi na kumaliza game. Kwa anayejua historia ya jamaa hawa, never say never. Hata Kagame na wenzake wanalijua hilo.
Uko sawa kabisa. Wenye kumbukumbu wanakumbuka burundi ilikua inatawaliwa na watutsi wachache. Waliendesha apartheid hadi kuhakikisha wahutu chuo kikuu hawasomi. Walikua wanauliwa wakiingia chuo kikuu. Majirani wakaona imetosha wahutu wakaungwa mkono kutokomeza apartheid ya watutsi burundi.
 
Back
Top Bottom